Naona watu wengi hapa wanasubiri matokeo official ya KondaπŸŽƒπŸŽƒπŸŽƒπŸ‘ΉπŸ‘ΉπŸ‘Ή
 
tupo hapa kigamboni naona makonda yupo kwenye bufee anachukua tambi, samaki duh ila kaweka pilipili imejaa mpaka inamwagika kwenye shati, lakini cha ajabu analia kishenzi yani nadhani pilipili imemuingia machoni.
 
Sikipendi hichi kidudumtu yaani wanambeya hawawezi kuchagua kimtu cha kuharibu zaidi bunge letu.......... Kikisimamia kupitishwa sheria za hovyo na kukataza /kuwabania wabunge kusimamia serikali
Hakuna namna ndo kapita sasa
 
tupo hapa kigamboni naona makonda yupo kwenye bufee anachukua tambi, samaki duh ila kaweka pilipili imejaa mpaka inamwagika kwenye shati, lakini cha ajabu analia kishenzi yani nadhani pilipili imemuingia machoni.

Matokeom tayari au bado?
 
tupo hapa kigamboni naona makonda yupo kwenye bufee anachukua tambi, samaki duh ila kaweka pilipili imejaa mpaka inamwagika kwenye shati, lakini cha ajabu analia kishenzi yani nadhani pilipili imemuingia machoni.
Hizi ni dalili kuwa kaangukia pua
 
tupo hapa kigamboni naona makonda yupo kwenye bufee anachukua tambi, samaki duh ila kaweka pilipili imejaa mpaka inamwagika kwenye shati, lakini cha ajabu analia kishenzi yani nadhani pilipili imemuingia machoni.
Vipi hatokwi na kamasi,kwikwi je..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…