Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Tusubiri matokeo. Mtu kama Makonda wanashindaga tena kwa kura nyingi. Huyu ataakishinda ubunge mbine itakuwa Mahakamani. Watu watadai yao!Kwahiyo kajitaalisha peke yake.pale kakutana na kisiki.
Tatizo la Bashite anavyoona watu wanatabasamu na kumpigia vigeregere anafikilia na moyoni wako hivyohivyo.
Pesa watu wamekula na wamemchinja.
Babu Tale nae vipi?Stive nyerere tayari amedondokea kiuno.
Kwishaaaa [emoji16][emoji848]wakuu makonda badto hajashindwa tumsimange kidogo.
Ila jamaa huwa anabahat balaaa anaweza kuzima kelele za mashabiki any time.
Hapana Zungu ni Ilala Azan kinondoni. Ila kinondoni nasikia tarimba kachukua kituIddy Azan Ndio Zungu?
ALIYEPATA KURA 0 NI KWAMBA HAKUTOKEA ENEO LA TUKIOHaya kumeshakucha tena La mgambo likilia ujue kuna jambo.
Kwa mujibu wa ratiba ya CCM, leo na kesho ni siku ya Mikutano Mikuu ya CCM ya Majimbo/Wilaya kupiga kura za maoni za wagombea wa ubunge na ujumbe wa baraza la wawakilishi...
Makonda anajua siasa. Kigamboni lazima ashinde jamaa alijipima kwenye mizani na alijua jimbo lipi atapita kirahisi.wakuu makonda badto hajashindwa tumsimange kidogo.
Ila jamaa huwa anabahat balaaa anaweza kuzima kelele za mashabiki any time.
Moshi mweupe bado tu?!Hapo vip!!
Rais JPM,amesema kura zihesabiwe live,na niwapongeze jimbo la Kinondoni na Kigamboni kwa kutii amri ya mwenyekiti.
Arusha kuna nini...
Yaani duhMatokeo ya makonda mbona mengi jamani[emoji23][emoji23][emoji23]
Babu Tale nae vipi ?
Obama huyo mtoa rushwa? Hata akipita CCM hawampi,lazima Mpango atashinda asubuhi mapemaWaziri wa Fedha Dr. Mpango anakabiliana na mhe. Obama mbunge anayetetea kiti hicho jimbo la Buhigwe. Kasulu mjini ni waziri wa Elimu Prof.lJoyce Ndalichako dhidi ya Daniel Nsanzugwako mbunge anayetetea jimbo hilo.
Dr Mpango anatokea eneo lililo pembeni mwa jimbo hilo na lenye wakazi wachache huku Obama akiwa mzaliwa wa Manyovu upande wenye wakazi wengi. Kwa upande wa Ndalichako huyu amekulia na kusomea Kigoma mjini japo asili
yao in Kasulu mjini.
Awali alikuwa agombe Kigoma mjini lakini akakimbilia Kasulu baada ya kuona jimbo hilo uamuzi wa kuwa mbunge huamliwa na wazee wa Ujiji ambao ni waislamu.
Ndo wajue instagram inawadanganya sana.Kapigwa
Baby emb weka matokeo ya watu unitag maana nilikuwa bize ndo naingia Jf now! Nifanyie wepesi maana si kwa hizi comments 600 na usheeBabu Tale nae vipi ?