Unaongelea analytical intelligence. Kujipima kwenye mizani inahitaji analytical intellegence na mtu aliye-fail form IV manake ni zero kabisa akili za ku-analyze mambo. #Mkurupukaji
Mr zero ni zero tu
 
Unaongelea analytical intelligence. Kujipima kwenye mizani inahitaji analytical intellegence na mtu aliye-fail form IV manake ni zero kabisa akili za ku-analyze mambo. #Mkurupukaji
Siasa za CCM Tanzania siyo ngumu. Ni kuangalia kila kata wajumbe wana mtizamo upi. Ikiwezekana wananunulika ama?
 
Siipendi CCM kwa matatizo waliyowasababishia watanzania, lakini inapofanya vizuri lazima tuipongeze. Kwa hili la kuwachinjilia mbali waliosababisha kufuja fedha za umma kwa uchaguzi bandia heko Ccm heko Magufuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…