jimbo la kigamboni wapo live sasa hivi kupitia chanel ten jione mwenyewe mtu mzima akifurahishwa.
 
Kigamboni, Ubungo, Ilala, Kawe na Ukonga.... Matokeo yake niaje?
 
Umenichekesha wewe.Ujiji ndio iamue mbunge!! Mbona population ya ujiji sio kubwa.Labda mtazamo wa wanakigoma kigoma kuwa muelekeo was ACT ya bwana zito.Kigoma huwaambii kitu kuhusu zito,sijui watamchoka lini!!!!
 
Naona kila kura ni ya bwn.Ndugulile pale kigamboni....kuna kila dalili ya mwanamfalme kudondoka....
 
makonda anakimbizwa... japo wanaachana kwa tofauti ya 2
 
KUTOKA JIMBONI SIHA

1. Dr Godwin Mollel........... *58*
2. Justine Kweka *85*
3. Lameck Munuo... *91*
4.AGGREY MWANDRY... *151*
5.Eng.Betson Maimu.... *231*


Eng. Betson Maimu... [emoji3581][emoji3581][emoji3581]
Safiiiiiiiiiih woyooooooooooh
 
Jamani, tunaomb akujua kura za maoni kw Arusha Mjini, Kawe, Moshi Mjini, Misungwi, Ilemela, Nyamagana, Musoma Mjini Dodoma
Kule Moshi mjini Kura zinaendelea kuhesabiwa Ila tengemea Mr shayo us Mr priscus waliotoa rushwa watashindwa kwa kishindo Cha nguvu ya fedha.Hapo kigamboni pia Kura zinaendelea kuhesabiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…