guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,758
Tufanyeje mama?Yani chama cha ccm kinatuweka roho juu kama ndo uchaguzi mkuu?? Kweli chama dola
Wao ndo wenye dola
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tufanyeje mama?Yani chama cha ccm kinatuweka roho juu kama ndo uchaguzi mkuu?? Kweli chama dola
Ukikuta jimbo amepitishwa msaliti unitag
Sio kashindwa bali kachakazwa
safi sanaWamepigwa chini wote , ccm Ina wenyewe
Hao wasaliti hawana mapenzi na hiyo ccm wanajiunga wakati wa mavuno kwa maslahi Yao binafsi
Hivi kura za maoni kwenye nafasi ya urais zilisha pita?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Chadema wote wametelekeza uzi wao wamejazana hapa
Wewe ndiye ulipandisha bei ya nazi sokoni kuanzia juzi..Hakuna mtia nia atakayepita bila kuleta mbuzi mweupe kwangu!!!
Orodha ya waliotoa rushwa mapema gambo,makonda,mnyeti, Mr shayo wa Jimbo la Moshi, Mr priscus wa Jimbo la Moshi, ole sendeka,Watu wameanza muda mrefu,mtu anaanza kunua watu tangia 2015.Makonda hawezi kurupuka.
Hayo ni mawazo yako sababu hujui historia ya ccm huko nyuma. Minyukano mingi ilisababishwa na mtu kukubalika lakini kundi la watu wachache linampitisha sababu ya rushwa.Nimefuatilia upigaji wa kura kwa wagombea majimboni kwa wale waliotia nia kugombea Ubunge ama udiwani, kwa hiki nilichokiona imenikumbusha ule wimbo wa Mh, Capt Komba "Ccm ni ile ile"
Haiingii akilini kama hukuweza kubadirisha wajumbe wanao piga kura kumpata mgombea ukapata mgombea ambaye ni mpya, wajumbe wa kupiga kura wanatoka kwenye Kata ambako wawakilishi wengi ama ni wazee au wanajuana kwa vilemba!
Jambo hili linaudhi, linakera, na kukatisha tamaa sana! Mh, Rais alionesha mwelekeo mzuri wa kuibadiri Ccm lakini kwa aina hii na hiki kinachoendelea Ccm bila shaka Nusu ya wabunge Watatokana na Vyama vya upinzani. Binafsi niko tayari kumpigia kura mbunge yoyote wa upinzani (kijana) ntakayeona anafaa zaidi ya hawa wabunge (wakongwe) wanaoletwa na huu unaoitwa upigaji kura za maoni.
Mwisho Mh, Jpm usipokuwa makini
"UPINZANI UTAKAO PATA AWAMU HII UTAKUWA MGUMU NA MKALI KULIKO ULE WA 2020"
Upinzani huo utaletwa na vijana ambao wapo Ccm na wengi wanaona kama hawana nafasi tena ya kuwa wawakilishi ama kushika nafasi za maamuzi kwa Taifa lao.
Nawasilisha " time will tell."
Makonda kapetaKila la Heri Waheshimiwa Paul makonda, Gambo, katambi Ole sendeka na Mwanri👏👏
Jimbo la Peramiho vipi jamanii naomba matokeo
Sasa hawa wengine walikuwa wanagombea ili iweje?Dr.Tulia Ackson ambaye ni mtia nia wa Jimbo la Mbeya mjini leo 20.07.2020 ameshinda kwa kishindo kikubwa katika uchaguzi wa ndani wa CCM jiji la Mbeya kwa kupata kura 843 akifuatiwa na mshindi wa pili aliepata kura 16 na watatu kura 11.
1. Dk. Tulia Akson kura 843
2. Dk. Mahenge Mabula kura 16
3. Charles Mwakipesile kura 11.
Kigamboni, Makonda 319 Ndungulile 69Kwani kashindwa Mkuu wa mkoa wetu Mpendwa "aliyemaliza" muda wake?