Aggrey Mwanry doesn’t learn from his mistakes. Alishakuwa Mbunge wa Siha na Waziri kabla ya kumkataa kwenye kura. Sasa akuyafanyia kazi yale yaliomfanya akashindwa?!
 
Engineer Soma Hiyoooooo. Engineer Kasoma Kaelewa, Mwanri Chali
 
Nauliza tu kwa wale wataalamu wa sayansi ya siasa kwamba hawa wahamiaji waliotoka CHADEMA kwenda CCM walitumia mbinu gani wakati wa uchaguzi mdogo hadi wakawagaragaza vibaya washindani wao kutoka CCM?

Maendeleo hayana vyama!
yesuu wenu alitoa maagizo kuwa wapewe nafasi za upendeleo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…