Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Wewe Dada Tulia Kashinda Mbeya nakusalimia Tu ulisema utaomba sasa subiri uchaguzi mkuu huyo Sugu kwaheri
Unafikiri ndo naacha kuomba,siachi pona yake tu km Mungu kamkusudia! Mkuu halafu mbona hapo bado sn!siku akishinda ubunge nisalimie tu mkuu!


JESUS IS LORD[emoji120]
 
tumsikilize nani kwa Kigamboni?

ila ni kweli tunapenda Makonda ashindwe sababu kamdhihaki Rais wetu mpendwa kapewa cheo kikubwa usawa huu sote tuko kijiweni halafu kampuuza! hii si sawa!
Wanasema alitumwa. Lakini naona anatawanyika vibaya sana hapa..
 
Kuna Dada anaitwa Anaclare Shija,nae aliacha ukuu wa mkoa km sikosei vipi,kapita?

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Majimbo ambayo mshindi kawaacha wenzie kwa interval kubwa ni vyema wanaCCM wakaanza kushona suti mapema kabisa.

Kuna majimbo wapinzani hushindishwa na wanaCCM wenyewe kutokana na kura za hasira zitokanazo na hangover ya kura za maoni hasa wagombea wawili wakiwa na influence inayolingana au kukaribiana.
 
Nakumbuka kabisa ambavyo mlinihakikishia kuwa Mtu anaenda ' Kumalizwa ' kwa namna ya Kipekee kabisa na hatoamini Macho na Masikio yake nikawa ' nawabishia ' hatimaye kile kile mmekifanya. Kwa Furaha Kubwa niliyonayo kwa Kazi yenu nzuri nashindwa Kuendelea Kuandika hapa ila naomba mkubali na mpokee hizi Zawadi za Wanyama Mbuzi Watano ili mkachinje mle huko Makwenu na Familia zenu.

Hata Ubebwe vipi, utumie Vitisho gani na utumie Pesa zako za Dhuluma ila Mwenyezi Mungu akisema NO huwa anamaanisha NO mazima hasa.
 
Majimbo ambayo mshindi kawaacha wenzie kwa interval kubwa ni vyema wanaCCM wakaanza kushona suti mapema kabisa.

Kuna majimbo wapinzani hushindishwa na wanaCCM wenyewe kutokana na kura za hasira zitokanazo na hangover ya kura za maoni hasa wagombea wawili wakiwa na influence inayolingana au kukaribiana.
Km ilivyotokea iringa kwa msigwa!

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Back
Top Bottom