Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Usipende sana kujadili vitu ambavyo huvijui mwaka 2005. Peter Serukamba(Mkristo) alimshinda Dr Warid Kabourou( Muislam), unalifahamu hilo ? ndio maana nashangaa mnavyoandika msivyovijua kabisa
Siasa za 2005 ni tofauti na 2020.
Sera na mahitaji yamebadilika