Usipende sana kujadili vitu ambavyo huvijui mwaka 2005. Peter Serukamba(Mkristo) alimshinda Dr Warid Kabourou( Muislam), unalifahamu hilo ? ndio maana nashangaa mnavyoandika msivyovijua kabisa


Siasa za 2005 ni tofauti na 2020.

Sera na mahitaji yamebadilika
 
Kabla ya Zitto kulikuwa na Peter Serukamba kwa miaka kadhaa....acheni udini.
Angalia tu jina Prof Joyce Lazaro Ndalichako.

Hicho tu kinampunguzia kura Kigoma Ujiji.

Ujiji panamfaa Zitto Zuberi na Abdul Nondo
 

mimi nasubiri kwa Lijuakali kilombero...ccm wasipompitisha watalaaniwa
 

Mimi nakata kujua majimbo haya tu:-

1. Siha
2. Arumeru Mashariki
3. Kinondoni
4. Kilombero
5. Monduli
6. Tunduma
7. Temeke
8. Simanjiro
9. Tandahimba
10. Tarime Vijijini.
 
Achana na mtoa povu huyo, hajui historia ya Ujiji. Kulikuwa na Mkuu wa Mkoa akiitwa Mzindakaya anaelewa nguvu ya wazee wa Ujiji. Walimwambia Serukamba nenda jimbo la Zitto la Kigoma Kaskazini na Zitto aje huku Kigoma mjini na wote mtakuwa wabunge na ikawa japo vyama tofauti. Amtafute Serukamba ilikuwaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…