Akapigwa chini
 
Hivi ukishapita kwenye kura za maoni ndo umepita au unaweza kukatwa huko mbele even wananchi wamekuchagua wewe?
Unaweza ukakatwa mbele ya safari ila wengi huwa wanapitishwa, mfano kuna mwaka Bashe alishinda ila akakatwa apewa Kigwangala ambae alikuwa mshindi wa tatu
 
Huu mchakato wa CCM una kasoro yaani uchukuwe fomu halafu hakuna campaign; huo ushawishi wa kupigiwa kura unatokana na nini.

Uchaguzi wa namna hii unapendelea incumbencies na watu almaarufu; wengine ni wasindikizaji tu.
Ukichukua fomu unapita kwa wajumbe kila kata wapiga kura wakuone huku ukisubiri siku ya kujinadi kwa mara nyingine mbele yao
 
Salamu wandugu, shauku ni kubwa ya kupata matokeo ya watia nia wa nafasi ya ubunge CCM sehemu mbalimbali. Muda huu mchakato ukiendelea kwenye majimbo mbalimbali mwenye latest update anaweza kutumwagia hapa.
 
Wambeyaaaaa kama kawaidaaa na upashuu
 
 
Misungwi kuna wagombea nani na nani jmn
 
HILI N KWA WALE WANAOGOMBEA NAOMBA NOWAJULISHE CHAMA CHA MAPINDUZI KINA MAMBO MENGI SANA KUKUCHAGUA KYWA MGOMBEA MWAKA HUU


Kukumbushaaa tu UNAPOONA JINA LAKO LIKO TATU BORA MPENDWA USICHINJE MBUZI KUSHANGILIA

MWAKA HUU MWAKA WA FURAHAAA ANASEMA KAKAYANGU MWAMPOSA DK

KAMA UMECHAGUKIWA SUBIRI MPAKA MAJINA YA MWISHO KULE YANAPOTOLEWA UKONA UPO FANYA SHUKRN

NASEMA HAYA KUWAANDAA WENZANGU KISAIKOLOJIA TUSIJE WAPOTEZA MANGULI WA SIASA KWA PRESURE KISA MATARAJIO AYAJAKUWA WANAVYOTARAJIA

KILA LA KHERI

CCM TANO TENA
DKJPM TANO TENA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…