Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Akapigwa chiniAchana na mtoa povu huyo, hajui historia ya Ujiji. Kulikuwa na Mkuu wa Mkoa akiitwa Mzindakaya anaelewa nguvu ya wazee wa Ujiji. Walimwambia Serukamba nenda jimbo la Zitto la Kigoma Kaskazini na Zitto aje huku Kigoma mjini na wote mtakuwa wabunge na ikawa japo vyama tofauti. Amtafute Serukamba ilikuwaje.
Makonda Oyeeee. UsikondeSawa
Unaweza ukakatwa mbele ya safari ila wengi huwa wanapitishwa, mfano kuna mwaka Bashe alishinda ila akakatwa apewa Kigwangala ambae alikuwa mshindi wa tatuHivi ukishapita kwenye kura za maoni ndo umepita au unaweza kukatwa huko mbele even wananchi wamekuchagua wewe?
Milioni 30 zinampa mtu jimbo alafu kikao kimoja cha bunge tu anarudisha hela zake, hawa ndio wa kupiga chiniHuko Nyamagana kuna mgombea amegawa 50,000/= kwa wapiga kura zaidi ya 600. Washindane wake wataambulia vumbi tu.
Kabisa Mzee alisema anaweza chukua mtu hata wa 9 au wa 4Kwa mfumo wa sasa wa ccm kura za maoni hazina maana yoyote ile maana anaweza chukuliwa hata mtu aliopata kura sifuri
Ukichukua fomu unapita kwa wajumbe kila kata wapiga kura wakuone huku ukisubiri siku ya kujinadi kwa mara nyingine mbele yaoHuu mchakato wa CCM una kasoro yaani uchukuwe fomu halafu hakuna campaign; huo ushawishi wa kupigiwa kura unatokana na nini.
Uchaguzi wa namna hii unapendelea incumbencies na watu almaarufu; wengine ni wasindikizaji tu.
1 Kwanini Mkristo akigombea Zanzibar iwe hawezi kushinda ?
2.Kwani wazee wa kiislamu pale Ujiji wanamtishia kitu gani Profesa Ndalichako kama sifa anazo ?
Mbona litakuwa anguko baya sana! Ni dhahiri akianguka hapa anaweza kupotea kwenye ramani ya utawala huu ..Makonda chali
CCM nzima kuanzia mwenyekiti taifa mpk mkutano mzima hawana uwezo wa kumkata huyo,ndio mbabe wao huyo.Mbona litakuwa anguko baya sana! Ni dhahiri akianguka hapa anaweza kupotea kwenye ramani ya utawala huu ..
Ila siku zote wanasema politics ni dirty game, inawezekana katangulizwa kwa baiskeli ya miti haiwezi toka kigamboni to Dodoma .. The means will justify the end!Yule kaenda kwa kimemo cha babaake, usitegemee hilo.
Aisee duh, inaweza kuwa kweli....CCM nzima kuanzia mwenyekiti taifa mpk mkutano mzima hawana uwezo wa kumkata huyo,ndio mbabe wao huyo.
1 Kwanini Mkristo akigombea Zanzibar iwe hawezi kushinda ?
2.Kwani wazee wa kiislamu pale Ujiji wanamtishia kitu gani Profesa Ndalichako kama sifa anazo ?
[/QUOTE
Peter Serukamba ni mkristo Mbona alishinda Jimbo hilo kabla ya kuhamia Kigoma Kasikazini?
Misungwi kuna wagombea nani na nani jmnHaya kumeshakucha tena La mgambo likilia ujue kuna jambo.
Kwa mujibu wa ratiba ya CCM, leo na kesho ni siku ya Mikutano Mikuu ya CCM ya Majimbo/Wilaya kupiga kura za maoni za wagombea wa ubunge na ujumbe wa baraza la wawakilishi
Kwa Mujibu wa Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Magufuli waliochukua kugombea nafasi za Ubunge na uwakilishi ni 10,367. Waliokamilisha kujaza fomu na kurejesha ni 10,321.
Watanzania wataelekeza zaidi macho na masikio yao maeneo yenye upinzani mkali kama Kigamboni, Arusha mjini, Simanjiro, Kyela, Mbeya mjini, Mwibara, Misungwi, Same Mashariki, Tunduma, Tarime Vijijini na Ubungo ni baadhi ya maeneo yanayoangaliwa kwa jicho la tatu.
Ngoja tuone.
Up dates:
Maendeleo hayana vyama!
Unaota wewe!Makonda chali