Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,715
Lete utamu sasa huo[emoji444][emoji444][emoji445]Harambee mama harambeee[emoji444][emoji444][emoji444][emoji445][emoji445]
Dodoma Bado Hatujaamua Lolote
Kitila mkumboUbungo vipi?
PoaUbungo vipi?
Hiyo ni sawa na kuingia fainali mkuu ila mechi bado kule Dodoma ndio kwenye kichinjio, sasa inategemeana aliyeshika kichinjio kaamuke vipi siku hiyo.Hivi ukishapita kwenye kura za maoni ndo umepita au unaweza kukatwa huko mbele even wananchi wamekuchagua wewe?
Umeshanitajia za Mtu Wangu na Mtanzania Mstaarabu sana Faustine Ndugulile je, Kura za hilo ' Bwege Nazi ' langu ni ngapi? Nijuze haraka Mkuu.
Tunaweka data sawa. Tunaburudika kidogo kuwaandaa kisaikolojia kwa matokeo.Lete utamu sasa huo
Mayor JacobChadema wanamueka nani
Watambeba bashiteChadema wanamueka nani
DoohHata Kigwangala alikuwa mshindi wa tatu lakini alichaguliwa!! Kwahiyo wapwa na wakulungwa wasishangilie kwanza.
Hahahhaha acha izo lete utamu mkuu.Tunaweka data sawa..tunaburudika kidogo kuwaandaa kisaikolojia kwa matokeo.
Bado wanacheza mziki hapaSijaelewa, Kigamboni vipi?
Macho yote tunamtizama Paul Makonda aende mwenyewe live kuhesabu kura zake na kusaini kushindwa.
Tayari independent observers tayari wameshaona ushindi wa Dr. Ndugulile ila muda si mfupi msimamizi anatangaza ushindi rasmi wa Dokta
MATOKEO KIGAMBONI, MAKONDA CHALII, NDUGULILE AIBUKA KIDEDEA...
source : Global tv online
Sasa ule utopolo wa makonda ulikuwa unaupost ulikuwa unautoa wapi?MAJINA YANAENDA 3
LINALORUDI SIRI YA KAMATI NK
HAPO NDIPO NA CHEKA NA SIASA
NGOJA NIKAMALIZIE DOMPOYANGU