Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Inaonekana alipata zali tu
Hapana sio zali!

Alichuana na Abdullah Mwinyi mtoto wa rais mstaafu awamu ya pili, Mimi nafikiri Ndugulile alishishinda kwa mambo matatu;
1. Kutetea mradi wa mjimpya Kigamboni.

2. Suala la ukazi pia lilimbeba kwasababu ndugulile wazazi wake ni wenyeji wa mji wa Kigamboni na makazi yao yapo Kigamboni.

3. Amewashika sana na kuwakumbatia wazee maarufu/wenye majina na ushawishi mkubwa katika mji, hivyo walimpigia sana debe.

Ila safari hii mchuano mkali zaidi muda utatoa jibu sahihi
 
Hapana sio zali!
Alichuana na Abdullah Mwinyi mtoto wa rais mstaafu awamu ya pili, Mimi nafikiri Ndugulile alishishinda kwa mambo matatu;
1.kutetea mradi wa mjimpya Kigamboni.

2.suala la ukazi pia lilimbeba kwasababu ndugulile wazazi wake ni wenyeji wa mji wa Kigamboni na makazi yao yapo Kigamboni.

3.amewashika sana na kuwakumbatia wazee maarufu/wenye majina na ushawishi mkubwa katika mji, hivyo walimpigia sana debe.

Ila safari hii mchuano mkali zaidi muda utatoa jibu sahihi
4.baadhi ya wajumbe kutompenda DAB
 
Back
Top Bottom