[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]khaaaaa
Nimekimbizana na uzi mpaka nimechoka, nikaanza kuruka pg, haitoshi nikaanza kuruka comments nasoma zenye likes nyingi. Napo naona bado nashindwa kuendana na kasi.
Kwaherini, nitasoma font page...
Si kwa speed hii
Si una access nae insta? Ungemwbia.
Ni kweli kaka, tukizungumza kiutendaji ndugulile hakuna kitu. Uchaguzi wa 2015 alibebwa saana kwa wizi na nguvu mpaka akapita, kama sikosei CHADEMA alisimamishwa mmama flani hivi. Yule mmama watu wa kigamboni ndo twaamini alipita.Wewe unaishi! Mimi mzaliwa wa Kigamboni kabisa tena ni jirani na kwao.
Ila nakuunga mkono huyu Ndugulile sio mchapakazi kabisa, hana la maana alilolifanya Kigamboni.
Na sijui wanamchagua kwa maslahi gani?
Mimi binafsi tukiachana na itikadi tukaongelea maendeleo ni bora tumpe MAKONDA
Muangalie alipoenda kusaini alienda na nn, pale ukimuona mtu kaenda kusaini hana kitu mikononi maana yake amekosa kura kapata -0matokeo bado
Niliwahi mpigia simu kumshauri asirudishe fomu ataaibika hakupokeaSi una access nae insta? Ungemwbia.
Indeed.
Kweli nyie CHAMA DUNEThread ya matokeo ya nchi nzima imeelekeza macho na masikio kwa Makonda. Kijana anapendwa sana huyu hasa na sisi wanaCCM Chama Dune.
Duh, GENTA hutaki mchezo kabisa kwenye swala hili. Mwenye namba yake ya simu anitumie ili nimtumie hii clip kwa WhatsApp awe anatazama na mkewe kama kumbukumbu ya kiburi chake.
View attachment 1511911
Sweetheart, nitag basii wakiweka matokeo ya kuaminika, maana nakimbizana na thread mpaka pumzi imekata lol.!!Ebu wamalize niangalie zangu panguso mie