Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
🙌🙌🙌🙌🙌khaaaaa
Nimekimbizana na uzi mpaka nimechoka, nikaanza kuruka pg, haitoshi nikaanza kuruka comments nasoma zenye likes nyingi.

Napo naona bado nashindwa kuendana na kasi. Kwaherini, nitasoma font page kwani nimeweka nia gani mpaka mnitie njaa hivi...
 
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]khaaaaa
Nimekimbizana na uzi mpaka nimechoka, nikaanza kuruka pg, haitoshi nikaanza kuruka comments nasoma zenye likes nyingi. Napo naona bado nashindwa kuendana na kasi.

Kwaherini, nitasoma font page...
Si kwa speed hii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kitila Mkumbo amepeta
IMG-20200720-WA0017.jpg
 
Wewe unaishi! Mimi mzaliwa wa Kigamboni kabisa tena ni jirani na kwao.
Ila nakuunga mkono huyu Ndugulile sio mchapakazi kabisa, hana la maana alilolifanya Kigamboni.
Na sijui wanamchagua kwa maslahi gani?
Mimi binafsi tukiachana na itikadi tukaongelea maendeleo ni bora tumpe MAKONDA
Ni kweli kaka, tukizungumza kiutendaji ndugulile hakuna kitu. Uchaguzi wa 2015 alibebwa saana kwa wizi na nguvu mpaka akapita, kama sikosei CHADEMA alisimamishwa mmama flani hivi. Yule mmama watu wa kigamboni ndo twaamini alipita.

Ni vile tu kwamba Makonda anaweza akawa na makando kando lakini jamaa ni mfuatiliaji wa mambo, tofauti kabisa na ndugulile. Mengine ni aibu kuandika hapa.
 
Back
Top Bottom