reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,813
- 21,807
🙌🙌🙌🙌🙌khaaaaa
Nimekimbizana na uzi mpaka nimechoka, nikaanza kuruka pg, haitoshi nikaanza kuruka comments nasoma zenye likes nyingi.
Napo naona bado nashindwa kuendana na kasi. Kwaherini, nitasoma font page kwani nimeweka nia gani mpaka mnitie njaa hivi...
Nimekimbizana na uzi mpaka nimechoka, nikaanza kuruka pg, haitoshi nikaanza kuruka comments nasoma zenye likes nyingi.
Napo naona bado nashindwa kuendana na kasi. Kwaherini, nitasoma font page kwani nimeweka nia gani mpaka mnitie njaa hivi...