#BREAKING: Aliyekuwa Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile @DocFaustine ameibuka mshindi wa kura za maoni Kigamboni kwa kupata kura 190, mshindi wa pili ni aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM Paul Makonda mwenye kura 122.
 
Regardless ya matokeo, binafsi naamini Makonda lazima mwisho wa siku atapitishwa na baba'ke, kwanza,Ndugulile anaonekana na Magufuli ni mtu asieweza kwenda na kasi yake ( siku anatumbuliwa unaibu waziri wa afya Magufuli alimwambia n/waziri halafu hospitali zako zinakosa madawa!), lakini pia, Makonda anaonekana ana siri za Magufuli, hawa watu wanalindana kwa sababu ya interest zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…