Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Haya nimeona mwenyewe Clouds tv wanatangaza Kigamboni now Ndugulile mshindi kapata kura 190 , Makonda 122 shughuli imekwisha tuhamie Kawe sasa! Huwezi kushindana na baba yako Makonda wamekuingiza choo cha kike wote waliokushawishi ujinga!!

Mcheza sinema za uchi Gwajima nae apewe za uso hii Kawe sio sisiem ya wapumbavu ni sisiem makini na imara!
 
Back
Top Bottom