Kiiza ni mapema kumtabiria....Magu anaweza mficha sehemu nyingine tena.Karamba lolo Mkonda!Namuonea huruma katika maisha yake ya siasa maana aliharibu sana pia haji kupata cheo chochote kile!Hivi atakuwa anajisikiaje??
Angeshinda hizi kura za maoni kidogo wangeweza kumfikiria.. Ila kaangukia pua kumbeba itaonyesha dhahiri anapendelewa..Watambeba bashite
Kila kata inatoa mjumbe mmojaHv kura zinapigwa na wanachama wa ccm wote au Kuna wajumbe maalum na wako wangapi
HahahahaAshinde kwa kipi? Ili iweje kwanza? Akafie hukooooooh
Nitafurahi sn akipigwa chini huyu mbwaHuyu kapigwa mbaliiiii bado Silinde kule Tunduma akishinda najinyonga walah!
Mnaosema hivi mnajisahau nn kama haya matokeo ya mwanzo ni geresha maana kamat kuu inaweza kumchagua hata wa pili kugombea usije shangaa jamaa asirudi kupika kwenye meli ya wagiriki akateuliwa yeye wa pili kugombea ubungeNi muda muafaka Bashite kurudi kuendelea na kazi yake ya upishi kwenye meli ya wagiriki.
Wewe ndio Utopolo unalishwa matango pori hovyo na wewe unakubali kuwa mfuatiliaji wa taarifa mkuu.Toka hapa utopolo wewe!
Kumbuka kuongoza kura za maoni sio kuchaguliwa kugombea ubunge kupitia ccm, anaweza chaguliwa hata wa tano hivyo bado final say kamat kuu
Kamati ya roho mbaya dea tupooooooooohNyie wachawi aiseee mlitabirii mwanzo mwisho
Hatari,sie tunaosoma kila comments tukimtafuta bashite tunapata tabu saaanaaa.Uzi unakimbia kama train ya SGR
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee acha tyuuuuuh, nna furaha isiyo kifani mweeeeeeehHahahaha