Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Tarimba alikuwa Diwani. Jamaa kajijenga kisiasa ndani ya kata yake, jimbo pia. Sasa madiwani wenzake kama alikuwa na mahusiano vizuri nao. Aliyenichekesha ni Zamaradi alifikiri wanaomfollow instagram ndo watapiga kura.
Kapuuzi kweli kale,

Ndio hata humu huwa nasema kila siku kwamba wanaomshabikia Lisu mitandaoni siyo wanaopiga kura!

Kiufupi kura hazipatikani Twitter, insta, facebook na jf,
Chadema itawachukua miaka elfu kugundua hili
 
Kama watamkata makonda sisi wana kiga tumechoka tunataka mtu mwingine maana huyo miaka kumi hakuna lolote
 
Tunahesabu dakika sasa.. Kuanza kufurahia matokeo ya Jimbo la Kigamboni.. Makonda leo.. kawavutia wananchi wengi.. wanasubiri matokeo yake.. kumekuchaaa.. historia inatengenezwa.. [emoji2][emoji2][emoji2]

Mupo tayari.. munataka muziki.. au kurukaruka tu?

Makonda Oyeeeeeeeee
Basi ushindi upo kama wewe umecoment hivi basi ushindi upo
 
Dah! Hawa kondoo wa "bwana" kweli ni kondoo. Jamaa alisema utumishi wa Mungu ni cheo kikubwa kuliko siasa na kondoo wakashangilia. Leo Tena anawaambia "panua panua" wanashangilia tena.
Kweli watz wengi wana mental retardness...unashangiliaje litapeli hilo at ni liaskofu....?
 
Wewe Makonda awezi kushindwa kwenye kura. Watu wa aina yake wanakuwa wameshajitayarisha sana. Tatizo ni kwenye vikao vya Chama. Kule ana nguvu hasa Polepole!
Kwahiyo kajitaalisha peke yake.pale kakutana na kisiki.
Tatizo la Bashite anavyoona watu wanatabasamu na kumpigia vigeregere anafikilia na moyoni wako hivyohivyo.
Pesa watu wamekula na wamemchinja.
 
Hio danganya toto
jamani msiwe na wasiwasi hapa kigamboni bado wajumbe wanapata chakula nadhani makonda amechinjwa mana amekaa peke yake na sura yake imekaa kama analia na kujiandaa kwa vurugu.
 
20 Julai 2020
Kigamboni, Dar es Salaam

Paul Christian Makonda, Dr. Faustine Engelbert Ndugulile na watia nia wengine CCM wakimwaga sera kabla ya wajumbe kupiga kura kuchagua waliotia nia Kigamboni.

 
Back
Top Bottom