Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Matokeo ya kura za maoni katika Jimbo la Kongwa, Dodoma kwa watia nia wa Chama cha Mapinduzi (CCM):

Job Ndugai: 850

Dkt. Samora Mshanga: 20

Isaya Mngulumi: 19
 
Sasa safari hii minyukano itakua mikali zaidi coz wingi wa kura sio ushindi bali itategemea na mwenyekiti siku hiyo ameamkaje maana yeye ndiyo ataeendesha vikao vya kujadili majina yote na kuamua nani atiwe krosi nani apewe ridhaa.

Walioshinda na kutiwa krosi na mwenyekiti lazima wataleta minyukano.
Kutiwa cross inachagizwa na mambo mengi. Si kwamba unatiwa tu cross. Zamani michakato ilikuwa inaambatana na rushwa.

Hilo suala la kusema mwenyekiti kaamkaje ni mazungumzo tu baada ya habari sababu mwenyewe alishaongea sana tu kuwa watu walihamia upinzani sababu walikuwa wanakubalika ila waliondolewa kwa hila.

Hilo ameliongea sana kuliko hilo la kusema anakata. Bahati mbaya mmekremu la kukata tu.
 
Mkuu hawa ' Waandamizi ' waliponihakikishia kuwa ' wanammaliza ' Mtu sikuwaamini na bahati hao ' Waandamizi ' Jamaa ' alishawatishia ' sana tu.
Hawa ndio walikuwa wanadaiwa wametumwa na baba,kule Siha Mwanri chali na kule Vunjo nasikia Daktari wa CRDB nae chali,hawa badala ya kulea wajukuu wanakaba hadi penalti sijui yule mwingine mzee wa TAA,TANU kule Bunda kama atakuwa amepona.
 
Huyu chizi anayetangaza matokeo kigamboni ukimsikiliza vizuri utajua wazi kuna kitu kinapikwa huko mbeleni kwenye kamati zao ili makonda aje kupitishwa ubunge.

Eti kinakomalia point kuwa eti leo hakuna mshindi.
 
Back
Top Bottom