Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Mjomba Mrisho Mpoto alimuimbia Kikwete akamwambia
"Mjomba vibwaya usivitupe ghalani, vitakuja kukufaa/kuhitajika".

Mila haziepukiki, utamaduni wetu ni sehemu ya maisha yetu[emoji3][emoji3][emoji3]

ANGALIZO: Kwa kina dada inabidi muwe makini sana maana kuna wanaume wapo kwenye siasa huko tena vyama vyote wana take advantage ya uhitaji wenu wa kua Waheshimiwa Wabunge/Madiwanikuwaomba rushwa ya ngono
Hahaaaaa! Tusiache au siyo waafrica tuko vzr.Wengine kwa staili hyo bora kushindwa
Kutumika huko ndo mpango kwa kweli wanawake ndo mboga hizoo.
Mimi bwana ngoja nishike chaki huko kuzitoo
 
Nimeona na kupata nyepesi nyepesi kuwa Umi Mwalim amekuwa wa kwanza kura za maoni.
Mungu amzidishie huyu mama kipindi cha COVID19 amepitia magumu mno
Wananchi wameliona hili nilishawahi kumsifia humu watu wengine wakabeza.
Huyu mama nampenda mno utendaji wake mwanangu ningekuwa na uwezo ningesimamia uwe waziri tena wa Afya.
Mkwe wangu(mumeo) amepata mke
 
Nimeona na kupata nyepesi nyepesi kuwa Umi Mwalim amekuwa wa kwanza kura za maoni.
Mungu amzidishie huyu mama kipindi cha COVID19 amepitia magumu mno
Wananchi wameliona hili nilishawahi kumsifia humu watu wengine wakabeza.
Huyu mama nampenda mno utendaji wake mwanangu ningekuwa na uwezo ningesimamia uwe waziri tena wa Afya.
Mkwe wangu(mumeo) amepata mke

Dada ya Korona yuko vizuri...

400041200357_136418.jpg
 
Wakuu mwenye matokeo ya Jimbo la Nkasi please.

Ally Kessy katoboa kweli?
 
Nimeona na kupata nyepesi nyepesi kuwa Umi Mwalim amekuwa wa kwanza kura za maoni.
Mungu amzidishie huyu mama kipindi cha COVID19 amepitia magumu mno
Wananchi wameliona hili nilishawahi kumsifia humu watu wengine wakabeza.
Huyu mama nampenda mno utendaji wake mwanangu ningekuwa na uwezo ningesimamia uwe waziri tena wa Afya.
Mkwe wangu(mumeo) amepata mke

Muombe ruhusa mumewe, ukanywe chai na Ummy.
 
Msifie kuhusu mambo ya chama na uwaziri, mengine waachie wenyewe wanafamilia.
 
ukifanya vizuri malipo yake utayapata na ikifanya mabaya malipo yake utayaona hapa hapa...duniani...
 
Hivyo ndivyo ilimpasa kufanya hivyo hamna jipya, zamani waligeuza uwaziri kuwa ulaji tu kwa sasa uwaziri ni utumishi na utekelezaji wa majukumu, angezembea aone kama angebaki kwenye hicho kiti!
 
Back
Top Bottom