Mkuu unadhani mzizi wa tatizo ni niniKuna watu wanadhani changamoto za nchi hii zitaisha kwa kufukuza watu kazi. Kwa hiyo magu aliifanya hii nchi pepo ndogo au? Kwa hiyo nchi ilikuwa haina tatizo lolote kisa watu walitumbuliwa?
Mnaacha kutafuta mzizi wa tatizo mnajikita kutaka watu wapigwe chini
Waubinafsishe!Ccm Hoyee
Ni kiaz haswaaMzizi wa tatizo ni upi we kiazi
Wee jmaa kumbe Ni kiazi sometime embu acha hzo bemba baKuna watu wanadhani changamoto za nchi hii zitaisha kwa kufukuza watu kazi. Kwa hiyo magu aliifanya hii nchi pepo ndogo au? Kwa hiyo nchi ilikuwa haina tatizo lolote kisa watu walitumbuliwa?
Mnaacha kutafuta mzizi wa tatizo mnajikita kutaka watu wapigwe chini
Mama Maridhiano anaongoza serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Baraza la Mawaziri linateuliwa kutoka Serikali kivuli ya Msoga,sasa Mama wa watu afanye nini?Au anaambiwa lakini ni mbishi?au haambiliki?
Makamba si ndio mkuu wa wizara au hujuiHizi chuki za ajabu sana, Sasa Nape na Makamba wanahusikaje na Uwanja?
Binafsi sitaki kuinganisha hii na magufuli ILA ukumbuke taa zilizimika match kubwa iliyopita,Kuna watu wanadhani changamoto za nchi hii zitaisha kwa kufukuza watu kazi. Kwa hiyo magu aliifanya hii nchi pepo ndogo au? Kwa hiyo nchi ilikuwa haina tatizo lolote kisa watu walitumbuliwa?
Mnaacha kutafuta mzizi wa tatizo mnajikita kutaka watu wapigwe chini
Nayo hili Ni hoja kweli majitu wanawekwa bila taaluma husika Kama MD wa tanesco wala siyo injiniaaUozo wa CCM, badala ya kuweka watu wenye taaluma, wao wanaweka makada wao! Hizi aibu za kujitakia
SawaWee jmaa kumbe Ni kiazi sometime embu acha hzo bemba ba
Ndo nashangaa umeme ulikuwepo sema taa za uwanjaMakamba anahusika vipi na mambo ya uwanjani?
Fact [emoji3578]Hapo utaambiwa ni bahati mbaya hakuna aliepanga. Ogopa nchi ambayo matatizo yake inamwachia Mungu.
Mbuzi hawezi kuelewa gitaa hata ulipige vipi? Jaribu uoneMatendo ya hovyo yanayoendelea nchini ni dalili kuwa hii nchi inaongozwa na watu wasiostahili. Haiwezekani taa za uwanja wa taifa zinapata hitilafu kwa mara ya pili ndani ya miezi 3. Uongozi sio kuahidi mamilioni baada ya ushindi huku miundombinu haisimamiwi ipasavyo.
Hebu tumia mamlaka yako ya Urais kuwawajibisha wasiotaka kuwajibika.
Ana usafi gani kwani amefanya lipi la maana embu metion hapaAcha Majungu. Nape mtu safi
Ila alitukosea sana kutuondolea bunge live
Hakuna hajaTaa zilizimika match kubwa iliyopita
Kulikuwa na haja kwa taa kuzimika tena uwanja mkuu wa Taifa watu wasiwajibike??????
GoiglderSawa
Tatizo liliko uwanja wa taifa ni taa sio umeme.Waziri wa madini na utaliii
πππGoiglder