Aibu kubwa kwa Taifa taa za uwanja wa Benjamini Mkapa kuzimika mechi ikiwa inaendelea
Kuna watu wanadhani changamoto za nchi hii zitaisha kwa kufukuza watu kazi. Kwa hiyo magu aliifanya hii nchi pepo ndogo au? Kwa hiyo nchi ilikuwa haina tatizo lolote kisa watu walitumbuliwa?
Mnaacha kutafuta mzizi wa tatizo mnajikita kutaka watu wapigwe chini
Mkuu unadhani mzizi wa tatizo ni nini
 
Kuna watu wanadhani changamoto za nchi hii zitaisha kwa kufukuza watu kazi. Kwa hiyo magu aliifanya hii nchi pepo ndogo au? Kwa hiyo nchi ilikuwa haina tatizo lolote kisa watu walitumbuliwa?
Mnaacha kutafuta mzizi wa tatizo mnajikita kutaka watu wapigwe chini
Wee jmaa kumbe Ni kiazi sometime embu acha hzo bemba ba
 
Au anaambiwa lakini ni mbishi?au haambiliki?
Mama Maridhiano anaongoza serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Baraza la Mawaziri linateuliwa kutoka Serikali kivuli ya Msoga,sasa Mama wa watu afanye nini?
 
Kuna watu wanadhani changamoto za nchi hii zitaisha kwa kufukuza watu kazi. Kwa hiyo magu aliifanya hii nchi pepo ndogo au? Kwa hiyo nchi ilikuwa haina tatizo lolote kisa watu walitumbuliwa?
Mnaacha kutafuta mzizi wa tatizo mnajikita kutaka watu wapigwe chini
Binafsi sitaki kuinganisha hii na magufuli ILA ukumbuke taa zilizimika match kubwa iliyopita,
Kulikuwa na haja kwa taa kuzimika tena uwanja mkuu wa Taifa kwa match kubwa watu wasiwajibike??? unajua hii ni kuharibia Nchi reputation? madhara yake ni makubwa sana
Huu ni uzembe wa hali ya juu na unawezakuta watu wamejiandikia mamilioni ya pesa kuwa walitengeneza...
 
Uozo wa CCM, badala ya kuweka watu wenye taaluma, wao wanaweka makada wao! Hizi aibu za kujitakia
Nayo hili Ni hoja kweli majitu wanawekwa bila taaluma husika Kama MD wa tanesco wala siyo injiniaa
 
Matendo ya hovyo yanayoendelea nchini ni dalili kuwa hii nchi inaongozwa na watu wasiostahili. Haiwezekani taa za uwanja wa taifa zinapata hitilafu kwa mara ya pili ndani ya miezi 3. Uongozi sio kuahidi mamilioni baada ya ushindi huku miundombinu haisimamiwi ipasavyo.

Hebu tumia mamlaka yako ya Urais kuwawajibisha wasiotaka kuwajibika.
Mbuzi hawezi kuelewa gitaa hata ulipige vipi? Jaribu uone
 
Fu-ooGdWIAId0RZ.jpeg
 
Back
Top Bottom