Waziri unamuonea tu. Siku ya tatu tangu ateuliwe kulikuwa na mechi baina ya Tanzania na Uganda umeme ukazima.

Aliyefeli ni mama Samia na serikali yake nzima. Ulitaka waziri ndiyo akarekebishe taa na familia yake??
Kazi yake nini hasa Kama waziri wa Nishati hausiki na upatikanaji wa Nishati ?

Kwahio wewe sababu babu yako wakati anamiliki shamba mlikuwa mnalala njaa ni sawa leo hii wewe mjukuu unayemiliki hilo shamba ulalae njaa ?

Kama Waziri hausiki kwa lolote tuna sababu gani ya kuwa na Waziri ? Si tuondoe hii nafasi chenji inayobaki ipelekwe kupunguza bei ya mafuta ya taa tununue vibatari ?
 
Watu wa nishati hawa husiki kwa lolote mkuu kwa sababu tatizo sio umeme bali tatizo liko kwenye taa anaye takiwa kuwajibika ni meneja wa uwanja.
 
Generator linahitaji winchi kubwa Sana ili kulinyanyua kwa ajili ya kulisafiriaha. Hivyo serikali imemlipa mkandarasi wa kutengeneza winchi mpk mwaka 2035 kitakuwa limekamilika
Umeona namna serikali yako unayoitetea ilivyooza?
 
Kuna Mafundi mitambi wa TANESCO kazi Yao ni kuchezea mitambo na kufanya umeme uwe mdogo....
 
Mama anaupiga mwingi
 
Ivi TFF KAZI YAO NINI MBONA HII NI AIBU awali ilitokea wakati wa moja Kati ya MECHI ya TAIFA STARS Sasa PESA wanazo kata kwenye viingilio wanapeleka wapi.?
Hizo pesa anazo toa mama za kila goli wakarebishe uwanja hiii ni AIBU Africa
Nini maoni yako mdau
 

Attachments

  • IMG_1682873687623.jpg
    26.4 KB · Views: 2
  • IMG_1682875152139.jpg
    169.2 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…