Sisi ni wazuri kwa maneno, kusifia udhaifu kwa vitendo na uhalisia ni sifuriNashangaa sana katika hili taifa mwanzo walisema Kuna mtu/kibaka alifanya hujuma akakamatwa Sasa leo Tena ni Nini???
Halafu tunaomba kuandaa afcon kwa hali hii tutakubaliwa kuandaa mashindano ya afcon??
Ni aibu kubwa kwa KWELI/tunaaibika kimataifa.
Hatari sanaHapana cha afcon hapa ni kuzuga au kujaribu
Samia hawa ndugu katika imani wanakuangusha sana,tumbua huyo mkurugenzi Salum Mtumbuka.Hii ni mara ya pili baada ya ile mechi ya Taifa stars na Uganda, shida ni nini?
Tukienda tu kwa kubembelezana kama ilivyo kwa Waziri wa Nishati! Iko siku tutapata bonge la Aibu zaidi ya hili la umeme kuwa mdogo kwenye uwanja wa Mkapa mechi ya kimataifa inayohusisha Timu za Tanga na Rivers!
Halafu sijui ni kwa nini huwa inakuwa hivi!
Kila mtu aliyewahi kulalamikiwa sana na wananchi kwenye tawala hizi, mtu huyo huja kuwa sababu ya serikali kufeli vibaya na kuwa ya hovyo hovyo tu
Nchi nzima kwani imekosa watu makini hadi iwe yuleyule tu aliyefeli hata kabla ya kuanza?
Hivi majuzi kwenye ziara ya Rais kabisa kule Arusha! Umeme ulikatika mbele yake na bado mh Januar Makamba bado aliendelea kuwa waziri
Mfano
Makonda!
Sasa mzenziber na ukali wapi na wapi yakhe?🤣🤣mbona mwataka kumpa mtihani bi mkubwa🤔eeh hili nalo wakalitazame au watupishe🤣🤣🤣Hili nalo muende mkalitazame!.
@Bei Elekezi huo ni usenge kupeleka lawama kwa watu WA pwani ?? Kwani wao ndio wamezima umemeJanuary Makamba, Nape Nnauye na wengine waliokataliwa na JPM wamerejeshwa na Samia, leo ni mara yapili taa za uwanja wa taifa zinapata hitilafu, huu uwanja ni mali ya serikali, inaelekea serikali haikujali aibu ya sikuile na leo wameirudisha tena aibu hiyo. Amakweli huwezi mbebesha mtoto wa pwani gunia la kilo 100, atakufa tu.
Upo sahihi mkuuSisi ni wazuri kwa maneno, kusifia udhaifu kwa vitengo na uhalisia ni sifuri
Hatari sana yani😂huyu Rais tumepigwa yaani Hana macho!!
Mfumo wa Umeme uwanjani leo hii ulikuwepo sehemu Ngapi Tanzania ? Sehemu Kibao leo mchana kutwa kulikuwa hakuna Umeme; Kwahio pamoja na hao wazembe Uwanjani kuna Kinara wa Uzembe hapo Juu katika Wizara ya NishatiIssue siyo upungufu wa nishati. Ni technical faults za mfumo wa umeme uwanjani.
Sisi? Wewe na nani?Mpira unatusaidia Nini sisi
Makamba ana mapungufu kibao tu lakini anatakiwa alaumiwe kwa yale yaliyoko chini ya mamlaka yake tofauti na hapo itakuwa ni chuki tu.We tetea jipu tu ilo !!! January ni bonge moja la waziri mpuuzi Sana kwenye utawala wa simia
Huwezi kuelewa kwa sababu huwezi kuelewa!!!
Ndiyo@Bei Elekezi huo ni usenge kupeleka lawama kwa watu WA pwani ?? Kwani wao ndio wamezima umeme
Hapana. Serikali ya rais Samia imejaa uzembe!! Umeme umekatika juzi juzi lkn hakuna aliyefanyia kazi tatizo mpk leo linajirudiaAu sabotage ?!
Dakika 10 zikipita umeme haujakaa vizuri, yanga anapokonywa ushindi na Rivers atapewa ushindiSamia hawa ndugu katika imani wanakuangusha sana,tumbua huyo mkurugenzi Salum Mtumbuka.
Samia unataka pepo na huku unataka utawala...hivi vikai pamoja!
Tumbua na huyo january wizara imemshinda,uoga wa nin?
View attachment 2605325
[emoji16]Nawakumbusha tu,
'Tanzania Tanzania nchi yenye mali nyingi,
Watu wengi wa ulaya wanaililia sanaa.'
[emoji38]