Aibu kubwa kwa Taifa taa za uwanja wa Benjamini Mkapa kuzimika mechi ikiwa inaendelea
Nashangaa sana katika hili taifa mwanzo walisema Kuna mtu/kibaka alifanya hujuma akakamatwa Sasa leo Tena ni Nini???

Halafu tunaomba kuandaa afcon kwa hali hii tutakubaliwa kuandaa mashindano ya afcon??


Ni aibu kubwa kwa KWELI/tunaaibika kimataifa.
Sisi ni wazuri kwa maneno, kusifia udhaifu kwa vitendo na uhalisia ni sifuri
 
Hii ni mara ya pili baada ya ile mechi ya Taifa stars na Uganda, shida ni nini?

Tukienda tu kwa kubembelezana kama ilivyo kwa Waziri wa Nishati! Iko siku tutapata bonge la Aibu zaidi ya hili la umeme kuwa mdogo kwenye uwanja wa Mkapa mechi ya kimataifa inayohusisha Timu za Tanga na Rivers!

Halafu sijui ni kwa nini huwa inakuwa hivi!

Kila mtu aliyewahi kulalamikiwa sana na wananchi kwenye tawala hizi, mtu huyo huja kuwa sababu ya serikali kufeli vibaya na kuwa ya hovyo hovyo tu

Nchi nzima kwani imekosa watu makini hadi iwe yuleyule tu aliyefeli hata kabla ya kuanza?

Hivi majuzi kwenye ziara ya Rais kabisa kule Arusha! Umeme ulikatika mbele yake na bado mh Januar Makamba bado aliendelea kuwa waziri

Mfano

Makonda!
Samia hawa ndugu katika imani wanakuangusha sana,tumbua huyo mkurugenzi Salum Mtumbuka.

Samia unataka pepo na huku unataka utawala...hivi vikai pamoja!
Tumbua na huyo january wizara imemshinda,uoga wa nin?

Screenshot_20230430_195332_Instagram.jpg
 
January Makamba, Nape Nnauye na wengine waliokataliwa na JPM wamerejeshwa na Samia, leo ni mara yapili taa za uwanja wa taifa zinapata hitilafu, huu uwanja ni mali ya serikali, inaelekea serikali haikujali aibu ya sikuile na leo wameirudisha tena aibu hiyo. Amakweli huwezi mbebesha mtoto wa pwani gunia la kilo 100, atakufa tu.
@Bei Elekezi huo ni usenge kupeleka lawama kwa watu WA pwani ?? Kwani wao ndio wamezima umeme
 
Issue siyo upungufu wa nishati. Ni technical faults za mfumo wa umeme uwanjani.
Mfumo wa Umeme uwanjani leo hii ulikuwepo sehemu Ngapi Tanzania ? Sehemu Kibao leo mchana kutwa kulikuwa hakuna Umeme; Kwahio pamoja na hao wazembe Uwanjani kuna Kinara wa Uzembe hapo Juu katika Wizara ya Nishati
 
Nawakumbusha tu,
'Tanzania Tanzania nchi yenye mali nyingi,
Watu wengi wa ulaya wanaililia sanaa.'
[emoji38]
 
We tetea jipu tu ilo !!! January ni bonge moja la waziri mpuuzi Sana kwenye utawala wa simia

Huwezi kuelewa kwa sababu huwezi kuelewa!!!
Makamba ana mapungufu kibao tu lakini anatakiwa alaumiwe kwa yale yaliyoko chini ya mamlaka yake tofauti na hapo itakuwa ni chuki tu.

Tatizo la uwanja wa taifa sio umeme bali taa ndo mbovu angalau ungesema kuwajibishwa kwa waziri wa michezo ningekuelewa.
 
Poleni Sana wakuu,hapo uwanjani hakika poleni Sana,nasema poleni sanaaaaaaaaaaaaaaaaà
 
Yanga wana mambo ya kitoto sana, wamekwenda kuzima taa halafu wasingizie kuwa ni Simba ndiyo wamefanya hivyo.
 
Back
Top Bottom