Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mateso Lengai ole sabaya aliyowapatia Wananchi, mahakama imewatendea haki wananchi . Haijawahi kutokea Tanzania tangu uhuru DC kuhufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi na kutumia silaha. Sabaya ni mnyama.JANA NIMEFIKIRIA MENGI SANA NA NIMEOGOPA :::
Inakuwaje Watu wanajikusanya Eneo la Mahakama na Kuanza kuzomea zomea !!! Zamani tumesoma kwenye Vitabu kuwa Eneo la Mahakama panahitaji Ukimya Mkubwa sana na watu hamruhusiwi kupiga kelele za aina yoyote ile ila jana nimeshangaa sana kilichotokea pale Sekei kiukweli.
Hujachangia kistaarabu, aliyesababisha zomea zomea alikuacha kiongozi wakati wa mwenda zake, ulitakiwa ueleze udhaifu uliouona unaohusu Mahakama siyo kusema mafisadi sijui nini wamerudi, acha mahaba.Kwani hujui kwamba mafisadi, walarushwa, wapiga-dili, wabadhirifu na wazembe wenzio sasa awamu hii tena wameingia kazini!??? Endelea kuwashangilia tuuu, sawa!???
waachie mahakama wafanye decision. wao ndio wenye nguvu ya kisheria. wengine huku nje ni wapiga porojo tuWell-said. Ndiyo maana vilipodondo wa dizaini hiyo wanasema hata akiachiwa sasa, angalau ameonja uchungu wa mahabusu. Sasa ni wazi kabisa nia ya hao ni ipi. But their game results have already been determined.
zamani mlikua mnalishwa matango pori.JANA NIMEFIKIRIA MENGI SANA NA NIMEOGOPA :::
Inakuwaje Watu wanajikusanya Eneo la Mahakama na Kuanza kuzomea zomea !!! Zamani tumesoma kwenye Vitabu kuwa Eneo la Mahakama panahitaji Ukimya Mkubwa sana na watu hamruhusiwi kupiga kelele za aina yoyote ile ila jana nimeshangaa sana kilichotokea pale Sekei kiukweli.
Nobody is Guilty until proven by the Court. why waliruhusu azomewe??Kwa mateso Lengai ole sabaya aliyowapatia Wananchi, mahakama imewatendea haki wananchi . Haijawahi kutokea Tanzania tangu uhuru DC kuhufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi na kutumia silaha. Sabaya ni mnyama.
Mimi nimeelewa Kuwa hiyo comment ina maanisha mafisadi na watu wenye pesa wako tiari kwenda kuhonga vikundi ili vimzomee sabayaHujachangia kistaarabu, aliyesababisha zomea zomea alikuacha kiongozi wakati wa mwenda zake, ulitakiwa ueleze udhaifu uliouona unaohusu Mahakama siyo kusema mafisadi sijui nini wamerudi, acha mahaba.
Kusema ukweli pale Mahakama imeonyesha udhaifu, nahisi haitajirudia.
nitakunya kariakoo hadi ubungo. huyu kwanza uongozi wa umma asahau maisha yake yote. na akishafungwa mtakuja tena hapa kujifariji kuwa kafungwa miaka kidogo. huyu akimaliza arusha moshi wanae tena. kupangua kesi zote ni mpaka mwakani mwezi kama huu na hapo ashanyea ndoo vya kutoshaHuoni kama hayo ni maandalizi ya kesi kufutwa
Sabaya atalipa faini kwa DPP na kurudi kumzodoa mbowe kama kawaida
Acha kubeba kauli ambazo haziendani na muktadha.Nobody is Guilty until proven by the Court. why waliruhusu azomewe??