Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Viongozi wa dini wamekutana na Rais wakatoa ushauri ila TEC kwa utashi wao wakakosa subira wakafanya maamuzi ya kibinafsi yanayotaka kuleta udini na kuligawa taifa.
Mbona mnapenda sana kupotosha? Kwa nini hamtaki kuyaweka kwa usahihi yale ambayo mkuu huyu wa KKKT kayasema mbele ya rais kwenye hiyo sherehe ya kanisa lao? Wapi hata kwenye hiyo video clip Askofu Shoo kasema anaunga mkono mkataba wa uwekezaji wa DP World?Kwa kuwa Viongozi wa dini kuu Kwa umoja wao walienda kumuona mh.Rais na wakatoa maoni Yao ,hii ya TEC inatoka wapi? Je Kuna mahala mh.Rais amekataa maoni ya watu?
Anasubiri mtu ajitokeze kufanya haya aliyosema hapa?- Hakuna mwenye msuli wa kuharibu amani yetu
Ndugu zangu, na hususani Baba Askofu Shoo, Kaka yangu Askofu Mkuu wa Kanisa la KKKT, nimeyasikia yote uliyoyasema kuhusu usalama, amani, umoja na mwendelezo wa Taifa letu, niliamua kunyazama kimya na naendelea kunyama kimya, ninachotaka kuwahakikishia hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuligawa Taifa hili, hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuuza Taifa hili
Hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuharibu amani na usalama tuliojenga kwenye Taifa hili, hayo itoshe kuwa ni ujumbe wangu kwenu, asanteni sana
TEC walitoa tamko kwa kukurupuka hii ngoma bado mbichi🔨Nioneshe ni lini viongozi wa dini walikutana na rais kuzungumzia mkataba
Kwani Mzee wa Bapa ana Kanisa?!😄Makanisa mengine tukialikwa ikulu kunywa chai TEC wananuna; Mzee wa upako
Uchaguzi wa Serikali za mitaa?Hapo kuna homa ya uchaguzi kwanza
Hii sentensi kama unauwezo wa kusoma between the lines bila ya kuhitaji akili kubwa sana unaona kuna mabano hapaShoo amesema watakapo Anza kutoa maoni Yao wasianze kusema wanachanganya dini na siasa.
Na ana kondoo wasiopungua laki 3Kwani Mzee wa Bapa ana Kanisa?![emoji1]
Limeonya au limekubaliana?Kw
Kwa hiyo ulitaka kama kanisa tusemeje ? Kumbuka amesema mkuu wakanisa letu walikwenda ofisini kwake"ikulu" kutoa maoni ya kinachoendelea kuhusu Dp world. Tusubiri majibu kanisa hilli halijawahi kukunja kucha mikono na karamu zake kwenye kuonya na kukemea. Kanisa limeonya
Mnatalazimisha wote tuamini kama nyie?
Hii hivi inakuwajeItakuwa wao walipeleka mapendekezo kitambo hivyo hapakuwa na sababu ya kuyarudia
Wanajitoa akili makusudi hao jamaa.Jamani askofu kasema anaunga mkono uwekezaji.
Hajasema uwekezaji gani ila watu mnamlisha maneno.
Pia mapendekezo yao bado hayajafanyiwa kazi.yasipofanyiwa kazi lazima waraka utoke
Kwanini makanisa mengine wakialikwa ikulu kunywa chai TEC wananuna?Punguzeni porojo
Hawajaunga mkono mkataba mbovu
Mnadanganya ili iweje
Amesema wanaunga mkono uwekezaji ulio na faida kwa Taifa sio huu uliopo sasa
Wakatoliki wamenyoosha maelezo KKKT wamefunga mjadala. Ujumbe ni ule ule acheni kupotosha
Hakuna mwenye msuli wa kuligawa taifa .amiri jeshi mkuu wa majeshi ameshaongea kama unachukia sana kunywa sumu huyo ndio rais mpaka 2030.Askofu Shoo ujumbe umemfikia
Asante mtumishi wa Mungu
Eti hakuna mwenye ubavu wa kuligawa Taifa kwani haoni limegawanyika tayari...
Duu kwamba yamepuuzwa? Uko serious kweli?Mbona mnapenda sana kupotosha? Kwa nini hamtaki kuyaweka kwa usahihi yale ambayo mkuu huyu wa KKKT kayasema mbele ya rais kwenye hiyo sherehe ya kanisa lao?...
Huyo bingwa Wao Mwamposa hana hao laki 3😂😂Na ana kondoo wasiopungua laki 3
Dunia ya sasa hawagawi miili bali wanagawa Fikra!Hakuna mwenye msuli wa kuligawa taifa .amiri jeshi mkuu wa majeshi ameshaongea kama unachukia sana kunywa sumu huyo ndio rais mpaka 2030.
Samia angalao karuhusu Demokrasia ianze kushamiri NchiniSamia mbele kwa mbele
Maajabu haya ya dunia au ndiyo kuchangayikiwaMwanasiasa akemea kuchanganya siasa na dini kanisani akiwa mgeni rasmi kanisani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]