Jana Roma Catholic wameweka wazi hawautaki mkataba
Leo waluteri wa Kkkt mbele ya Rais wameunga
Walokole kina Masanja hao wataunga tu.

Wasabato itakuwaje ?
Catholic ipo juu ya wote hao, msabato na mambo ya serikali ni mbali mbali hutasikia msabato akinyanyua kunywa kunena lolote , hata hvyo kati ya watu wanaoijua nguvu ya Catholic Kwa usahihi ni wasabato ...
 
Hatimae bandari za watanganyika zimebaki kwa watanganyika, Mkataba wa kimagungo watupiliwa mbali.

Wote tuseme AMEN!

Nimeyasikia yote uliyoyasema kuhusu usalama, amani, umoja na muendelezo wa taifa letu, niliamua kunyamaza kimya, na naendelea kunyamaza kimya, nachotaka kuwahakikishia hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuligawa taifa hili, na hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuuza taifa hili, na hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuharibu amani na usalama kwenye taifa letu" - Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
 
Nonsense.
 
Hoja ndo imaeisha hiyo, ambao walikuwa na mianya kule bandarini mjiandae kisaikolojia. Diipii Wolidi wanaenda igeuza daslamu kuwa Dubaiii
 
Hoja ndo imaeisha hiyo, ambao walikuwa na mianya kule bandarini mjiandae kisaikolojia. Diipii Wolidi wanaenda igeuza daslamu kuwa Dubaiii
Sisi tumeshindwa ndio tunamtegemea DP world?. Kwamba hatuna uwezo wa kuibadilisha dar?. Kweli ukoloni bado upo.
 
Kama nakuona unavyotamani tiachane na mkataba ili uendelee kuiba hapo Bandarini.

Endelea kusubiri embe chini ya mpapai. Lazima mkataba utekelezwe na urasimu wenu tuuondoe pale bandarini
 
Mbona statement ipo vague?. Hakuna hitimisho lolote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…