Hili swali kwa machawa wote mbona kila mara mkilala mki amka mkikaa midomoni mwenu chadema chadema mbona vyama vipo vingi kwanini chadema halafu mnatangazia watu chadema imekufa lakini kila siku midomoni mwenu humuishi kuitaja chadema mara hawaendi kuwafarijii wahanga wakienda mnawazuia eti rais anakwenda kwani kuna sheria ipi inayosema rais akienda sehemu fulani mwengine haruhusiwi kwenda ooh wanatafuta kiki wanatafuta kiki kwa nani wakati mnasema wananchi wamekususa kwanini chadema vp act tlp chauma cuf n,k mnasema chadema imekufa lakini mnaiogopa nyinyi wa ajabu sana
 
Rais ni nani kiasi kwamba watu wengine wabaguliwe kwa sababu ya Rais.Hivi hayo maridhiano na mapicha makubwa ya kushikana mikono ni nini?Elimu yetu isitupeleke shimoni Tanzania ni moja bila kubagua nani anafaa zaidi ya mwenzie.Soma Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ya 1977 Ibara 12 na 13.
 
Ichi hii inaongozwa na wahuni wasiojiamini. Eti Makonda ndiye mshauri wa Samia!
 
Kwani kama Rais angetoa pole na kumwita au kumwalika Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania naye atoe pole kwa wahanga tatizo lingekua nini?
 
Hivi msiba au majanga vinakuwaga na kadi????
 
Pointi hii,hongera sana mkuu.
 
Si ndio wangejupendekeza kwa wananchi kwenye matatizo ili waonekane Bora zaidi kwa kuwahi kutoka watu? Sasa kwenye Kampeni wanaokula Bata hewani na helcopter kwenye maafa hatuzioni si ubinafsi huo?
Uoga utawaponza.
 
Chadema ni upumbavu mtupu kutumia Political kicks za maafa!

Je!
tangu Majanga yametokea huko Hanang ni kwa nini hamkwenda mpaka mumsubiri siku mheshimiwa Rais akiwa anakwenda huko?

Je!
Ilikuwa ni lazima nyinyi Chadema kwenda huko sambamba na ziara ya Rais?
Je!
Viongozi wa Chadema hawana Busara za kufanya maamuzi sahihi?
Mfano....kwani mngeacha kwenda Hanamg leo na mkaenda huko kesho mngekuta hao wagonjwa wameondoka wodini wote?

Chadema mnazidi kupoteza umakini na sifa ya chama mbadala kwa siasa za nchi hii.
 
Nasikia mwenyekiti wa kudumu wa chadema alilia kwa uchungu mkuu usiovumilika alipozuiwa kuwapa salamu za pole ndugu zetu wa Manyara

CC Erythrocyte
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…