HUSSEN KAMBI
Senior Member
- Dec 4, 2023
- 196
- 250
Hili swali kwa machawa wote mbona kila mara mkilala mki amka mkikaa midomoni mwenu chadema chadema mbona vyama vipo vingi kwanini chadema halafu mnatangazia watu chadema imekufa lakini kila siku midomoni mwenu humuishi kuitaja chadema mara hawaendi kuwafarijii wahanga wakienda mnawazuia eti rais anakwenda kwani kuna sheria ipi inayosema rais akienda sehemu fulani mwengine haruhusiwi kwenda ooh wanatafuta kiki wanatafuta kiki kwa nani wakati mnasema wananchi wamekususa kwanini chadema vp act tlp chauma cuf n,k mnasema chadema imekufa lakini mnaiogopa nyinyi wa ajabu sana