CHADEMA wasitisha safari kuelekea Katesh-Hanang kuwafariji wahanga wa mafuriko kutokana na vikwazo walivyowekewa
View attachment 2835679

Kama tulivyotarajia tangu awali , Serikali ya Tanzania imekizuia Chama cha Demokrasia na Maendeleo , kuwafariji watu wa Hanang , ambako viongozi wake wamekatazwa hata kutembelea Wagonjwa hospitalini .

Hapa ndipo siasa za kishamba za ccm zilipofikia .

View attachment 2835675
Halafu nimesikia leo asubuhi wabunge wamepeleka kilo 15 za sukari na mbegu za mahindi, wakati hao watu majembe yote yamekwenda na maji sasa hizo mbegu watapandaje
 
HUO NI UNAFIKI WA KIWANGO CHA LAMI YAANI MUMEONA RAIS ANAENDA HUKO NANYIE MNAFUNGASHA VIKWATO VYENU KWEND HUKO
Rais alipoona sisi tunaenda kwanini naye akataka kwenda ? kwanza anatuogopea nini ?
 
Ila chadema kuna saa mnakua kama wehu vile. Mngesubiria rais amalize yake na nyie muende,kutwa kukurupuka tu
 
hehehhee 2025 nchi yetu hiii,,,........................
 
Kama tulivyotarajia tangu awali , Serikali ya Tanzania imekizuia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Mlitarajia halafu mkaenda tuwaeleweje? Au ndiyo mlikuwa mnatafuta justification ya kutafuna ruzuku ya Chama?
 
Hawachelewi kuona mtaji wa kisiasa kwa tukio la kuhuzunisha Taifa , siasa za matukio ndiyo mzigo mkubwa kwa hatma ya nchi hii kupiga hatua. Vyama vyote vimekaa kimtego mtego ili vipate coverage kwa wananchi na si kuwekeza mikakati kabambe ya kuwateka wpiga kura. CCM hao chadema hawatapunguza hilo tukio ukali wake waruhusiwe wakafariji wa Tanzania wenzao.
 
View attachment 2835679

Kama tulivyotarajia tangu awali , Serikali ya Tanzania imekizuia Chama cha Demokrasia na Maendeleo , kuwafariji watu wa Hanang , ambako viongozi wake wamekatazwa hata kutembelea Wagonjwa hospitalini .

Hapa ndipo siasa za kishamba za ccm zilipofikia .

View attachment 2835675
Kama ni kweli basi ni ujinga wa kiwango cha PHD. Yaani mtanzania mwenzako unamzuia kwenda kuwapa pole wenzake. Why? Wao wamegeuza Yale maafa kujipenyeza kisiasa, wamefanya siasa tupu huko hanang. Wamejisomba kwa gharama za wananchi. Leo Chadema wanataka walau kuongeza nguvu ya msaada wanazuiwa? Kuwazuia Chadema ni kuwanyima haki Wana manyara ya kupokea misaada. Haya ni mashetani na mungu chukua roho zao yote yaliyozuia
 
Maeneo mengi ya Mkoa wa Manyara Si salama Kwa CCM! Mama alipotembelea Babati mwezi January .. pale Uwanjani alikuwa ana hutubia wanafunzi wa Shule za High School kama Tano hivi ambao walisombwa na wakaambiwa wasivae Sare! Kila mtu atokezee anavyojisikia!
Walichofanyiwa CHADEMAleo Si jambo la ajabu;
 
Lazima kuna utaratibu unaotakiwa kufuatwa hasa ukizingatia kuwa rais wa nchi yuko huko. Mngefuata protocol sidhani kama serikali hii ya Samia ingewakatalia.

Mungu Awaponye wahanga wote wa mafuriko haya 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Kwani haya ni mara ya kwanza kutokea?
 
View attachment 2835679

Kama tulivyotarajia tangu awali , Serikali ya Tanzania imekizuia Chama cha Demokrasia na Maendeleo , kuwafariji watu wa Hanang , ambako viongozi wake wamekatazwa hata kutembelea Wagonjwa hospitalini .

Hapa ndipo siasa za kishamba za ccm zilipofikia .

View attachment 2835675
Politically it was wrong timing.
Haiwezekani Rais awe na ziara huko na huyo Mzee nae awe na ziara hukohuko. Haingewezekana.

Achilia mbali ujio wa Rais, Hanang kwasasa ni scene ambayo huwezi kwenda kichwakichwa ukaruhusiwa.

Ditactives wako kazini wamezingira eneo husika kwa ugunduzi, uopozi na uokoaji....

Nadhani jitihada zaidi sasa zielekezwe kwenye michango ya faraja, then utatolewa utaratibu wa jinsi ya kupokelewa na uwasilishwe katika ukamilifu wake..


Lakini ndugu semaji la CDM siungeeleza kinagaubaga wameelekezwa nini cha kufanya au hicho sio muhimu?
 
Serikali imetoa takwimu za uwongo kuhusu idadi ya waliokufa na waliojeruhiwa.
 
Back
Top Bottom