CHADEMA wasitisha safari kuelekea Katesh-Hanang kuwafariji wahanga wa mafuriko kutokana na vikwazo walivyowekewa
1000005784.jpg
 
Rais wa nchi na wapinzani wakatembelea sehemu moja katika siku moja? Sijui mkuu ila kiprotokali nadhani haiko sawa sema tu watu wanataka ku-score political points!
hii ngozi naanza kuamini ina akili ndogo by nature....mambo ya kipumbavu sana haya...kwani Mbowe akienda maeneo mengine tofauti na samia kuna shida gani
 
Kupitia mtandao wa X, GODBLESS LEMA ameandika kuwa wameamua kusitisha safari ya kutembelea wahanga wa mafuriko kateshi wilayani Hanang kutokana na vikwazo vikali wanavyokutana navyo tokea waanze safari ya kuelekea huko

---
Tumekatisha safari ya kuelekea Katesh- Hanang kuona waanga wa mafuriko kutokana na vikwazo vingi tulivyo kutana navyo kuanzia tunaingia Mkoa wa Manyara na zaidi vikwazo vikali tulipotaka kusalimia wagonjwa Hospital ya Rufaa Mkoa wa Manyara.Tunaendelea kuwapa pole sana wakazi wote wa Mkoa wa Manyara.Tutaongea na vyombo vya habari kwa taarifa ya kina zaidi.

View attachment 2835662
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe pamoja na viongozi wa Kanda ya Kaskazini wamefika kituo cha Polisi mkoa wa Manyara kilichopo Babati mjini. Mwenyekiti na ujumbe wake wamepitia kituoni hapo na kupokelewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara kamanda George Katabazi wakiwa njiani kuelekea wilaya ya Hanang.
Pia soma > Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63
Nzuri nasema nzuri kwa kuzuiwa. Wafuasi wao wengi humu tunapambana kwa kushabikia israel
 
We
Uhuni ule ule toka kwa watu walewale,ikiwa hawajaweka wazi hivyo vikwazo huo ni utapeli ambao chadema imezoea kuufanya kwa wafuasi wake,sasa pesa za wafuasi wao waliochangia jana na juzi ziko wapi,si wazirudishe
Wewe ni mjinga,
Nzuri nasema nzuri kwa kuzuiwa. Wafuasi wao wengi humu tunapambana kwa kushabikia israel
vichawa vidogo huwa vinawasha sana. wewe ni chawa mdogo
 
hii ngozi naanza kuamini ina akili ndogo by nature....mambo ya kipumbavu sana haya...kwani Mbowe akienda maeneo mengine tofauti na samia kuna shida gani
Hata ukiporomosha matusi haitasaidia cho chote kama watu wa protocol hawataki iwe hivyo. Mbowe aende kesho au siku nyingine yo yote. Au asipoenda leo wakati Samia akiwepo kutakuwa na tatizo gani?
 
Upinzani wanafeli padogo sana,wanapofeli wao ndipo panapo nipa mzuka nami niwe na chama changu siku Moja........
 
Kama kweli imetokea hivyo hao waliofanya hivyo wajitafakari.Wamefanya jambo lakijinga kwasababu kilichowapeleka huko ni maombolezo sio porojo za kisiasa.Baada ya hapo mbowe angebaki kua mbowe na samia atabaki kua samia na urais wake.Mambo ya kitaifa tuyafanye yakitaifa hivi vyeo na madaraka yapo tu na yanapitaga.
 
Kama bila aibu wamezuia Mbowe asiwaone waathirika wa Hanang, basi mjue kuwa tayari mmepata wasaa wa kujua dhamira ya CCM kwenye chaguzi zijazo. Mtazuiwa kila mahali ambapo wanaona mtazoa kura nyingi!

Jiandaeni na mateo makubwa yajayo
 
Ccm wasije kurudia yale marudio ya kuchangisha fedha mabilioni kwa mabilioni....

Then wakawadhulumu watu wa bukoba hata kuwajengea makazi ya kudumu hamna!!!

Wasifiki tumesahau!!! Ya bukoba walivyofisadi zile fedha...

Ila yule mwenda zake!! Aisee alazwe mahala panapomstahili....(dhulma mbaya) itamtafuna huko huko aliko!!!

Wana bukoba Bado wanakumbuka serikali ilivyo-wafisadi... Na kuzigeuza fedha za rambirambi kuwa za Kwao(serikali)

Hii serikali isivyo na akili timamu... Imeshajisahaulisha..! Ya bukoba...Na kuanza kuchangisha!...
 
Kupitia mtandao wa X, GODBLESS LEMA ameandika kuwa wameamua kusitisha safari ya kutembelea wahanga wa mafuriko kateshi wilayani Hanang kutokana na vikwazo vikali wanavyokutana navyo tokea waanze safari ya kuelekea huko

---
Tumekatisha safari ya kuelekea Katesh- Hanang kuona waanga wa mafuriko kutokana na vikwazo vingi tulivyo kutana navyo kuanzia tunaingia Mkoa wa Manyara na zaidi vikwazo vikali tulipotaka kusalimia wagonjwa Hospital ya Rufaa Mkoa wa Manyara.Tunaendelea kuwapa pole sana wakazi wote wa Mkoa wa Manyara.Tutaongea na vyombo vya habari kwa taarifa ya kina zaidi.

View attachment 2835662
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe pamoja na viongozi wa Kanda ya Kaskazini wamefika kituo cha Polisi mkoa wa Manyara kilichopo Babati mjini. Mwenyekiti na ujumbe wake wamepitia kituoni hapo na kupokelewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara kamanda George Katabazi wakiwa njiani kuelekea wilaya ya Hanang.
Pia soma > Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63
Walitaka kutumia maafa kujinufaisha kisiasa
 
Kupitia mtandao wa X, GODBLESS LEMA ameandika kuwa wameamua kusitisha safari ya kutembelea wahanga wa mafuriko kateshi wilayani Hanang kutokana na vikwazo vikali wanavyokutana navyo tokea waanze safari ya kuelekea huko

---
Tumekatisha safari ya kuelekea Katesh- Hanang kuona waanga wa mafuriko kutokana na vikwazo vingi tulivyo kutana navyo kuanzia tunaingia Mkoa wa Manyara na zaidi vikwazo vikali tulipotaka kusalimia wagonjwa Hospital ya Rufaa Mkoa wa Manyara.Tunaendelea kuwapa pole sana wakazi wote wa Mkoa wa Manyara.Tutaongea na vyombo vya habari kwa taarifa ya kina zaidi.

View attachment 2835662
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe pamoja na viongozi wa Kanda ya Kaskazini wamefika kituo cha Polisi mkoa wa Manyara kilichopo Babati mjini. Mwenyekiti na ujumbe wake wamepitia kituoni hapo na kupokelewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara kamanda George Katabazi wakiwa njiani kuelekea wilaya ya Hanang.
Pia soma > Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63
Yaani injinia hersi karuhusiwa halafu chadema wamezuiliwa? Au wameenda mikono mitupu?
 
Back
Top Bottom