CHADEMA wasitisha safari kuelekea Katesh-Hanang kuwafariji wahanga wa mafuriko kutokana na vikwazo walivyowekewa
CCM ya sasa ni alama ya shetani hapa Duniani. Kuna siku siku CCM itakuja kujimilikisha mpaka makaburi. Wao kila kitu wanaona ni chao pekee yao.
Mabwenyenye damu za kijan
 
Safi sana

Chadema ni mbumbumbu na malofa


Walikua wap siku zote mapaka wavizie Ziara ya Mhe Rais?

Hawa vibaka wanapaswa kupewa wanachokitafuta
 
Chadema kwa nini waende leo wakati maafa yametokea muda mrefu?

Chadema ni wapumbavu
Wewe punguani kweli. Jipigeni kifunai mara 7, sema, mimi punguani na mpumbavu.

Punguani kama wewe, hata kama Mbowe angeenda juzi ungesema kwa nini ameenda kabla ya Rais. Ujinga huu wa polisi ulifanyika pia Kagera, CHADEMA walipopeleka pole yao kwa waathirika.
 
Hata mtoto mdogo angeamua kuwazuia chadema...

Maana motive yao ni ya kujiongezea umaarufu kisiasa..

Siasa kwenye majanga haifai...

Tuheshimu uhai.
Kwa hiyo na Samia ameenda Hanang kujiongezea umaarufu?
 
Mi nadhani wewe ndio mpumbavu wa mwisho!
Umemshusha sana Etwege kumwambia ni mpumbavu wa mwisho. Huyo ni mpumbavu wa kwanza. Maana yake, wapumbavu wakishindana, yeye lazima awe mshindi kwa kushika nafasi za juu kwenye upumbavu.
 
Chadema kwa nini waende leo wakati maafa yametokea muda mrefu?

Chadema ni wapumbavu
Mpumbavu ni yule anaeporomosha mitusi ya kipumbavu. Na sifa ya mpumbavu ni kutetea na kushabikia upumbavu.
 
Sisi kina nani?

Hao jamaa kama motive yao si ya kisiasa kwenye vifo vya watu kwanini wanasubiri Raisi ndio na wao waende?
Hivi huyo Rais ni nani hasa? Ywye siyo mwanadamu? Basi mngetangaza kuwa wanadamu wote waondoke leo Hanang kwa sababu kuna kiumbe wa ajabu kutoka sayari nyingine atafika Hanang.
 
Yale maridhiano fake anayajua Mbowe, na ndio maana anapata tabu kueleza wafuasi wake na kueleweka kwani utapeli ule uko wazi mno.
Sidhani kama Mbowe haelewi hili ila huenda naye anafanya 'biashara' ya Siasa na Ccm....

Huenda hilo sio kosa, ila kuwatumia vijana wa Cdm kufanikisha hiyo biashara ni makosa.
 
Sidhani kama Mbowe haelewi hili ila huenda naye anafanya 'biashara' ya Siasa na Ccm....

Huenda hilo sio kosa, ila kuwatumia vijana wa Cdm kufanikisha hiyo biashara ni makosa.
Labda awatumie vijana wajinga. Lakini Iko wazi hakuna maridhiano Bali utapeli wa mchana kweupe.
 
Kwa hili nadhani opposition wakiri walipotoka kidogo.

Kiukweli kama wangeenda jana sidhani kama wangezuiwa. Mngeahirisha vyoooote mkafika pale ingewezekana hata Makamu wa Mwenyekiti angefika jana kumuwakilisha Mwenyekiti ( pole Mwenyekiti na misiba Mungu akufariji)

Mkuu wa nchi ni SSH so kuna sehemu tuzingatie security na mengineyo sio kila kitu ni show. Ilitangazwa Mkulu anaenda Dec 7 kwanza then ninyi mkaja na tarehe hiyo hiyo hamuoni kama mmekuwa wachokozi zaidi?

Kuna maudhi kero mapungufu mengi kwa watalawa hayaelezeki. Hata kwenye hili mapungufu meeeengi yamejionyesha but msiegemee kuprove ninyi ni bora kuliko wao..

Tunazungumzia janga kuu tuanzie hapo. Aim ilikuwa ni kwenda kuwasaidia wahanga au kushow off? Hii ni both sides inawahusu..

Mwenyekiti ameelewa na ndio maana ametulia.

Opposition, Hawakupashwa kugeuza janga kama hili iwe mtaji. Mwenyekiti angeenda kesho pia kusingekuwa na shida. Kinana alienda kwani yeye yupo ndani ya utawala so msifananishe kiviiiile. What if alienda kuset security na mengineyo.

Tuache hizi petty petty things..

Tulisema kukosolewa ni pande zote so kama chama mkubali mliteleza kidogo. Don’t dwell kwa hii issue maisha yaendelee.. sio kila jambo ni vita

Hata nchi nyingine wakisikia kuwa Tanzania viongozi wa upinzani wamezuiwa kwenda kuwafariji waathirima wa janga la landslide, kwa sababu na Rais naye alikuwa anaenda kuwafariji waathirika siku hiyo hiyo, watashangaa sana, na kujiridhisha kabisa kuwa Serikali ya Tanzania imesheheni watu wapumbavu kupindukia.

Huu upumbavu ulikuwepo pia Malawi wakati wa utawala wa dikteta Ngwazi Kamuzu Banda wa Muyayaya. Siku ambayo Ngwazi alikuwa anaruka kwa ndege kufanya ziara nchini mwake, anga zima la Malawi lilifungwa kwa ndege nyingine zote.
 
UBAGUZI KATIKA MAAFA YA MANYARA NI AIBU KWA TAIFA!
View attachment 2835774
Ndugu Watanzania!

Kuna taarifa kuwa Jeshi la Polisi katika Mkoa wa Manyara limemzuia Mhe. Freeman Mbowe kufika eneo la maafa likisingizia kuwa limepata maagizo ya kutoka juu. Sisi Askofu tunaamini kuwa hakuna maagizo yeyote kutoka zaidi ya hofu za wanasiasa wa Manyara. Sisi hatuamini kama Rais Samia au Waziri Mkuu Majaliwa na wao wanaweza kutoa amri hizo.

Sisi Askofu tunatoa wito kwa Waziri mwenye dhamana kutoka kueleza umma nini kimetokea hadi Jeshi la Polisi likazuia Mhe Mbowe kufika Manyara. Mbona jana alikuwepo msibani kwa Askofu Kweka? Je, kwa nini Mbowe azuiwe kuwatembelea hao wahanga wakati wengine ni wafuasi wake? Je, Jeshi la Polisi halijui kama Mbowe ni kiongozi wa kitaifa katika nchi hii? Askofu au Sheikh akitaka kutembelea Manyara atazuiwa? Je, UN wakitaka kwenda huko pia watazuiwa? Taharuki ya nini kwenye maafa?

Hivi ni taifa gani hili ambalo watu hubaguana hata katika maafa kama hayo? Je, serikali iko tayari kupokea misaada ya kutoka nje ya nchi wakati inakataa misaada kutoka kwa wananchi wake wengine kama viongozi wa upinzani?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula

Dar es Salaam, 7 Desemba 2023; 9:30 alasiri
Ni aibu kubwa kwa kina Samia
 
UBAGUZI KATIKA MAAFA YA MANYARA NI AIBU KWA TAIFA!
View attachment 2835774
Ndugu Watanzania!

Kuna taarifa kuwa Jeshi la Polisi katika Mkoa wa Manyara limemzuia Mhe. Freeman Mbowe kufika eneo la maafa likisingizia kuwa limepata maagizo ya kutoka juu. Sisi Askofu tunaamini kuwa hakuna maagizo yeyote kutoka zaidi ya hofu za wanasiasa wa Manyara. Sisi hatuamini kama Rais Samia au Waziri Mkuu Majaliwa na wao wanaweza kutoa amri hizo.

Sisi Askofu tunatoa wito kwa Waziri mwenye dhamana kutoka kueleza umma nini kimetokea hadi Jeshi la Polisi likazuia Mhe Mbowe kufika Manyara. Mbona jana alikuwepo msibani kwa Askofu Kweka? Je, kwa nini Mbowe azuiwe kuwatembelea hao wahanga wakati wengine ni wafuasi wake? Je, Jeshi la Polisi halijui kama Mbowe ni kiongozi wa kitaifa katika nchi hii? Askofu au Sheikh akitaka kutembelea Manyara atazuiwa? Je, UN wakitaka kwenda huko pia watazuiwa? Taharuki ya nini kwenye maafa?

Hivi ni taifa gani hili ambalo watu hubaguana hata katika maafa kama hayo? Je, serikali iko tayari kupokea misaada ya kutoka nje ya nchi wakati inakataa misaada kutoka kwa wananchi wake wengine kama viongozi wa upinzani?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula

Dar es Salaam, 7 Desemba 2023; 9:30 alasiri
Enyi mlio amini! Kuweni wasimamizi madhubuti kwa ajili ya Mwenyezi Mungu mkitoa ushahidi kwa haki. Wala kuchukiana na watu kusikupelekeeni kutofanya uadilifu. Fanyeni uadilifu. Hivyo ndio kuwa karibu mno na uchamngu. Na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu anazo khabari za mnayo yatenda. ( SURATUL MAIDA)
 
Kupitia mtandao wa X, GODBLESS LEMA ameandika kuwa wameamua kusitisha safari ya kutembelea wahanga wa mafuriko kateshi wilayani Hanang kutokana na vikwazo vikali wanavyokutana navyo tokea waanze safari ya kuelekea huko

---
Tumekatisha safari ya kuelekea Katesh- Hanang kuona waanga wa mafuriko kutokana na vikwazo vingi tulivyo kutana navyo kuanzia tunaingia Mkoa wa Manyara na zaidi vikwazo vikali tulipotaka kusalimia wagonjwa Hospital ya Rufaa Mkoa wa Manyara.Tunaendelea kuwapa pole sana wakazi wote wa Mkoa wa Manyara.Tutaongea na vyombo vya habari kwa taarifa ya kina zaidi.

View attachment 2835662
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe pamoja na viongozi wa Kanda ya Kaskazini wamefika kituo cha Polisi mkoa wa Manyara kilichopo Babati mjini. Mwenyekiti na ujumbe wake wamepitia kituoni hapo na kupokelewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara kamanda George Katabazi wakiwa njiani kuelekea wilaya ya Hanang.
Pia soma > Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63

Mmetembeza bajuli mkaambulia patupu ndiyo mnajidai eti mmewekewa vikwazo! Nani awawekee vikwazo nyie na kwa faida gani!
 
Nafikiri CCM kuondoka madarakani ni kwa mtutu wa bunduki pekee na sio kwa njia ya kidemokrasia.

Ukiona watu wanashindwa hata kuwaachia wenzao watoe pole kwa wafiwa, basi ujue hao ni maharamia wakubwa na wapo tayari kucheza michezo yote michafu mbele ya wapinzani wao bila chembe ya ya aibu.
 
Cm ilipofikia haiwezi tena kushindana kwa uchaguzi halali. Kwao kushindwa ni bonge la aibu, na humo ndani Yao Kuna wanaojiita wenye CCM, wanajua ccm ikitoka madarakani wataishia jela.

Hivyo watafanya uhuni wowote wabaki madarakani. Machafuko tu ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatawatoa madarakani.
 
Back
Top Bottom