Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Kampeni manager pigeni spana za kutosha ili kuibomoa CCM, kwenye hili la fao la kujitoa na kikokotoo hapa ni wizi mtupu wanaoibiwa wafanyakazi baad ya ccm kuifilisi mifuko ya Jamii kwa kula na kunywa michango ya wafanyakazi.

Hili linagusa makundi yote kwenye jamii. Atubaliani na kusubiria ufike miaka 60 ndo upewe chako tena bila riba, michango tu ilitakiwa upewe na riba maana wanazungushia pesa zetu, pia kuhusu kikokotoo hichi kinakwenda waumiza kabisa wafanyakazi iweje ustaafu miak 60 na usipewe chako chote bali unapewa kwa mafungu.
 
Kwanza chato siyo kwao kiuhalisia yeye ni raia wa Burundi, pili chato kuna changamoto nyingi kuna kero nyingi mno na kero kubwa ni unyanyasaji uonevu mkubwa toka kwa Polisi
Wewe ndio baba yake bro hadi umpangie kwao.
Haya Burundi kijiji kipi au Wilaya ipi.
 
Blah Blah...Matusi ya nini sasa? Mbona huelezei pia sheria haramu ya mafao ya wafanyakazi? Nayo mmesingiziwa? Mmekosa hoja kabisa
Hakuna duniani sheria ya mafao ya jamii inayolipa mafao kwa mfanyakazi eti simply amefukuzwa au ameacha kazi kabla ya kufikisha umri wa kustaafu. Maana ya mifuko ya jamii na malengo yake ni kuweka akiba ya mfanyakazi ili ukistaafu aweze kuwa na kipato asiwe ombaomba! Hata hao wanaume zenu mabeberu wanafanya hivyo hivyo!!.
 
Mbinu ambayo hutumika Duniani kote ni kuruhusu wapiga kura baadhi kulinda masanduku ya kura , kote Duniani hukubalika lakini kwa Tanzania CCM ya kishetani hutumia mbinu haramu kuwafukuza kwa kutumia Polisi , uchaguzi ukiwa huru na haki CCM ni bye bye
 
Wanawake Weusi wa Chato wanamsubiri mkombozi wao kwa hamu kubwa
Weusi wa Chato fanyeni Mambo,wengine hawafahamu kuwa weusi wana rangi asilia,nyeupe zingine ni za kununua dukani.Natarajia weusi wachato watajimwambafai Leo kwa rangi zao alizo wajalia Mungu.
 
Pana hoja mbili CCM wameshindwa zijibu hadi Sasa ni kuhusu vyeti vya kuzaliwa vya mgombea wao na ishu ya uporwaji ardhi karagwe na kugeuzwa Ranchi
 
Ilikuaje aanze kuuponda kabla hajaenda kutembelea na kuona uhalisia? Umekubali kuwa alikuwa anabwabwaja asiyoyajua...
Am your sis..

Hata wana - CHATO watakuwa walimshangaa. kuwajengea uwanja bila kuwauliza hitaji lao

Laiti angewauliza wanahitaji nini kwa fedha hizo, angeshangaa kuambiwa wanahitaji aanzishe Irrigation Scheme kubwa iwanufaishe wakulima wote!!
 
JF kwa Magufuli Kampeni Mburahati wamefuta kwa tundu wameweka masaa hata 72 kabla hata ya tukio, haijalishi lkn mwisho wenu Oktoba 28, ...
MaSemitrela yameanza kuzoa watu kuanzia Bagamoyo alfajiri ya leo mvua imewapiga wameshindwa hata kujibanza kwa ugeni walokuwa nao
 
Hakuna duniani sheria ya mafao ya jamii inayolipa mafao kwa mfanyakazi eti simply amefukuzwa au ameacha kazi kabla ya kufikisha umri wa kustaafu. Maana ya mifuko ya jamii na malengo yake ni kuweka akiba ya mfanyakazi ili ukistaafu aweze kuwa na kipato asiwe ombaomba! Hata hao wanaume zenu mabeberu wanafanya hivyo hivyo!!.
Imekula Kwenu Wanachama wote wa NSSF tunakwenda kuwanyoosha tarehe 28
 
Hata wana - CHATO watakuwa walimshangaa. kuwajengea uwanja bila kuwauliza hitaji lao

Laiti angewauliza wanahitaji nini kwa fedha hizo, angeshangaa kuambiwa wanahitaji aanzishe Irrigation Scheme kubwa iwanufaishe wakulima wote!!
Uwanja sio wa wana Chato pekee hata uwanja wa DSM unatumika na mtanzania yoyote na wengine kutoka nje ya nchi
 
Chato nzima Imesimama wana Chato wameamua kuthibitisha kuwa Nabii hakubaliki kwenye nchi yake.

Watu wamekesha Barabarani kumsubiri Liasu wafanyakazi wameahidi kutoenda kazini, wafanyabiashara hawafungui Maduka ,Hakika saa ya ukombozi ni sasa.

Na wafanye kweli trh 28 kumkataa shetani na malaika zake wote,bila hivyo wajiandae kwa visasi yaani wahamishe kabisa vyombo kwenye nyumba zao kabla ya greda
 
Hata wana - CHATO watakuwa walimshangaa. kuwajengea uwanja bila kuwauliza hitaji lao

Laiti angewauliza wanahitaji nini kwa fedha hizo, angeshangaa kuambiwa wanahitaji aanzishe Irrigation Scheme kubwa iwanufaishe wakulima wote!!
Wangesema,maji,huduma za afya zilizo Bora,huduma wezeshi kwa wakulima,Kama pembejeo.
 
Back
Top Bottom