Jamani kukiwa na dalili ya huu ushauri kuzingatiwa mnitonye. Maana ninahisi kuna biashara ya kujaribu kupaka hewa rangi inaendelea.
 
Mbowe anaogopa kufungwa,yaani hata akifungwa miezi watakosa muda wa kujiandaa kwa uchaguzi mkuu
Mbowe anatakiwa kwanza aunge mkono juhudi za Rais wetu.ndipo awezekukaribishwa kwa chai
 
Unaenda kumpigia magoti mtu aliyemtandika risasi 38 nduguyo utadhani anaua CHATU na kama haitoshi akaendelea kumshughulikia vivyo hivyo huku akiwa hoi kitandani.

CHADEMA hakuna kitu
Kwa hiyo ulitaka CHADEMA wafanyeje?.Waingie msituni ili kulazimisha HAKI na Demokrasia?.Kama Taifa tushukuru kuwa na kiongozi wa chama kikuu cha upinzani mwenye,BUSARA,HEKIMA na UVUMILIVU mkubwa.Vinginevyo........
 
Well done Mbowe!

Ubaya haulipwi kwa ubaya


Mbowe ametumia busara sana
Tukiwa tunaimba Tz ina Amani ni kwa mtindo huu
Upinzani/Chadema big up sana mmelikomboa Taifa kutoka kwenye kumwaga damu
Wanaowabeza hawaelewi
Keep moving mtashinda Tz itarudi kuwa moja tena...
Roho za uharibifu msizipe nafasi
Msg Sent!

#mwenyemasikionaasikie
 
Kesho Mbowe akisema hataki maridhiano wanaCHADEMA mtakuja kushangilia humu
 
Haahahaaaa akaombe maridhianoooo sikuya UCHAGUZI WA MWENYE KITI ....
 
Leo mnamtambua kuwa magufuli ni raisi? Ila kwenye kuapishwa kwake mligomea

Tunashangaa rais kuwaita watu waliosema hawamtambui. Ungempigia simu ili asiwaite.
 
Mkuu wewe kweli ni SIMPLE MIND!
Huna hazina ya information background.
Refer Mwalimu;
Kutaifisha njia kuu za uchumi(kujitawala kiuchumi)
Viwanda lukuki vya mazao
Mashirika ya umma huduma kwa wote
(ATC,BIC,NBC,BORA shoes,NDC,TISCI,TEMDO,TIRDO,UDA,KAMATA,NARCO etc)
Vyuo vya uchumi na biashara(Busuness college Dsm, SHYCOM, IFM etc)

Na mengine mengi , sijui tusemeje
 
Unaenda kumpigia magoti mtu aliyemtandika risasi 38 nduguyo utadhani anaua CHATU na kama haitoshi akaendelea kumshughulikia vivyo hivyo huku akiwa hoi kitandani.

CHADEMA hakuna kitu
We nawe

Kwa hiyo ulitaka afanyaje
 
Sahihisho:

Kila mara huwa wanaalikwa na nafasi yao huwa ipo siku zote, ila walikuwa wanasusia kama watoto wakisubiri kubembelezwa, sasa wameona wanapoteza zaidi hivyo wameamua kujileta.
BTW, sijasikiliza alichosema Mbowe.

Nakuelewa itakuchukua ujasiri wa hali ya juu na nguvu nyingi mno kumskliza Mbowe hata kwa sekunde tano, ndivyo chuki za kisiasa huwa, haswa kama umezichukulia kibinafsi ukiwa na msimamo mkali.
Mbowe amemuomba rais atumie hii fursa kama mwanzo mpya, mlango umefunguka sasa, rais aweke historia.
Naye Lipumba akasema ni fursa nzuri kwa rais wenu kuboresha demokrasia.

Hata sisi tuliwahi kuwa na misimamo kama hiyo yako, ila taratibu kila mmoja akaweka utaifa mbele na kukumbatiana. Kwa sasa inaeleweka, utakua mkali sana ila taratibu utapata nafuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…