Iddi Amin alipokubaliana na watekaji wandege ya air France 1976, ilitumika njia ya majadiliano ya kumlghai ili ajione anaweza kumbe makanda wa IDF walikuwa kwenye rehearsal kwaajili ya kufanya uokozi.

Asomaye na afahamu.
Usiku umeendelea sana, mchana umekaribia...............
 
Hotuba nzuri sana hii.....,
 
Lini chadema walimtambua Magufuli Kama Raisi? Kuapishwa walisusa kuwa hawamtambui,bungeni alipoenda Kama Raisi walitoka kumkataa.

Watoe kwanaza tamko la kumtambua Magufuli Kama Raisi.

Wanataka maridhiano na Magufuli Kama Nani kwao ?
Utajuaje mbinu za adui usipofanya urafiki naye? Asomaye na afahamu.
 
Kesho Mbowe akisema hataki maridhiano wanaCHADEMA mtakuja kushangilia humu

Kwani wote tunamuunga mkono kwenye hayo maridhiano aliyokwenda kutafuta leo? Mbona alishawishi tukajiandikishe kupiga kura na bado tulimgomea wazi wazi hapa jukwaani? Tuna uwezo wa kutambua mambo bila kufuata anachosema yeye, sana sana tunamuunga mkono anaposema kile kilicho kwenye utashi wetu.
 
Hiki la Akwilina ndio lina wapasua kichwa hawakujua litakuwa gumu kiasi hiki. Sasa wanataka maridhiano kwani waligombana wapi na serekali???
Kikwete aliwaita sana lakini hwapi ,wapinzani wa bongo ni pasua kichwa

Wapinzania watafungwa kwa ishu ya akwilina mambo ya kuomba maridhiano sio time yake


USSR
 
Nenda katunze mahesabu ili isipotee bila habari.
Kuna tetesi mtaani ambazo bado sijazithibisha zinadai hao wapo kwenye mgao wa ruzuku ya chama chenu ambayo matumizi yake yanatiliwa Shaka kila ripoti ya CAG inapotolewa
 
Unaenda kumpigia magoti mtu aliyemtandika risasi 38 nduguyo utadhani anaua CHATU na kama haitoshi akaendelea kumshughulikia vivyo hivyo huku akiwa hoi kitandani.

CHADEMA hakuna kitu
Utajua siku moja kuwa Chadema kuna kitu. tena si muda mrefu. Utashangaa Tibisii wani kuna mtu anatangaza hivi: "Tunaomba watanzania waendelee na shughuli zao kama kawaida. hatuna shida na wananchi, tuna shida na huyu adui wa demokrasia, adui wa utu, upendo, mshikamano, na fashsti mkubwa. Watu hawawezi kuishi kwa hofu kama wapo uhamishoni wakati wenye jukumu la kuwahakikishia ustawi wao tupo.Sasa tumeamua kushika hatamu. Baaada ya miezi sita wananchi watamchagua chaguo lao. Asanteni kwa kunisikiliza na majukumu mema ya ujenzi wa Taifa"
 
mbowe ni kiongozi poa sana .. kwa hotuba hiyo fupi imebeba tafsiri nying sana
 
Hii nchi ina maigizo sana
 
Zitto usimwamini sana atakutelekeza na kukuacha kwenye mataa we endelea kumshangilia
 
Nina shaka kama mods wanautaalamu wowote wa kujua maudhui na kuangalia tija ya posts kwa mustakabaliwa wa taifa. Hivi wanatumia vigezo gani kuunganisha posts au kufuta?
 
Lini chadema walimtambua Magufuli Kama Raisi? Kuapishwa walisusa kuwa hawamtambui,bungeni alipoenda Kama Raisi walitoka kumkataa.

Watoe kwanaza tamko la kumtambua Magufuli Kama Raisi.

Wanataka maridhiano na Magufuli Kama Nani kwao ?
Tafakari kabla ya kusema. Wanataka kuweka ushahidi ili siku moja iwe jasification ya hatakayo fuata.
 
Mbona wapinzani wamekua wakiingia ikulu miaka nenda miaka rudi? Wanaalikwa kila siku na wapinzani wengine huudhuria kwa wingi tu, hao walisusia shughuli zote za kimaendeleo na serikali

Kuanzia kutomtambua Rais, kutoka bungeni nk
 
Either with us or against us, hakuna maridhiano na wasaliti.
unaongelea CCM au Watanzania "with us" maana kuna tofauti. Watanzania wengi hawana hata vyama. Waliobaki toa asilimia 36%-40% ya upinzani ndiyo CCM. Hivyo msije mkafikiri kila Matanzania yuko kwenye Chama wengi wetu ni wataifa tu
 
yaan kila kitu matakaga kuji involve tuu, chadema waliaadhimia kwenye kikao chao cha ndani kihudhuria
LOL ni huyu tu ndio yupo desperate na issue za Tanzania


Nope nimesahau

Sio huyu tu, ni wakenya karibu wote, ukienda YouTube kwenye video za JPM ndio wanaongoza ku comment
 
Ningekuwa na gazeti langu, Kesho Kichwa cha habari kingekuwa, "Mbowe ashauri mwafaka wa Kitaifa........ halafu huyu mwingine namweka kurasa za ndani huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…