Kweli umenena tujikumbushe Mzee Karume kilicho muondoa ni chuki zidi ya mtu mmoja aliye umizwa na alicho tendewa Mzazi wake tusiende keze chuki binafsi mtu kwenda kuharibu mali ya mtu kisa siasa
haya kwao ni vitu vidogo sana, mijitu imelewa madaraka kwa kiwango cha juu sana!
 
unataka kila mtu akubali mawazo yako sio?!, kuita wengine wanyama coz wanakupinga sio ustaarabu, you are selfish arrogant!

Silazimishi mtu ayakubali mawazo yangu. Sina uwezo huo.
 
Unataka mpaka tuuane sana?
 
Eti maridhiano! Nasisitiza tena watanzania hawahitaji maridhiano, wanahitaji rule of law, democracy, na mengine mengi yenye manufaa. Chadema kuna baadhi ya maeneo wako clueless kabisa, huwezi kwenda kuomba demokrasia kwa mtu anayepora chaguzi! Mbowe na wenzie hawana political strategists. Tukio la leo sio la kusifiwa! Ni ujinga.
 
Ingawaje hakukuwa na namna nzuri ya kueleza hili, ila walichokisema wengi wanakifikiria.
Walichokifanya CCM kukosesha mamilioni ya watanzania kuwachagua viongozi wa mtaani wawapendao kimetengeneza hasira. Hawa ndo viongozi pekee ambao wananchi walikuwa na mahusiano nao.
Hali hii si salama kwa nchi.
 
Hilo neno wanalitumia kusaka kula yao baba, hawa wanasiasa wanatafuta neema kwa ajili yao na vizazi vyao sio kwa ajili yetu
 
Hata sielewi haya maridhiano ni aina ipi?
1.Ni ya kitaifa kuwa labda kabila au kanda fulani lina uadui na jingine?

2.Ya Kichama, kuwa Chama tawala ni kinatesa vyama vingine na kuleta uhasama wa kitaifa?
Hilo no 1 ni big NO
Hilo no 2 . Ni sarakasi tupu. Kama chama fulani basi kiridhiane na chama kingine isiwe kiujumla
Mfano. ZZK wakati vyama vingine vinamgomea rais alipohutubia bunge na kutoka alibaki. Akaitwa msaliti. Hapo ccm na ACT walikuwa poa tu.
Leo CDM katia timu Sherehe za Uhuru . ACt ya zzk imekula buyu inaaasema CDM Wamewasaliti.
Mi nadhani kama chama fulani kinabifu na mwenzake nenda mkae mridhiano huko kama ufipa kwa lumumba maana hata hii ya CDM kwenda hatukushirikishwa kama wananchi.
Kama Cuf anabifu na ACT wakakae wao .
Sio maridhiano ya kitaifa .

Mbowe alihitajika kuomba kwenda kuonana na mwenyekiti mwenzake wamalize kisailensa hatarekodiwa kuwa anaenda KUTUBU . Wenzake mbona walienda leo wanakula goodtime. Sisi asitushirikishe kumtongozea
 
Watanzania hatujawa na mvurugano wa kuhitaji maridhiano ya Kitaifa. Maridhiano yanayohitajika ni ya viongozi wa vyama vya siasa. Na Vyama vina platform yao ya TCD chini ya Shibuda, Mbowe angeamua kutumia nafasi yake vizuri kama M/kiti wa Chama kuwasilisha na kujadiliwa jambo hili huko ktk vikao vyao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…