FT: Simba 0-3 Raja Casablanca | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.02.2023
Na nyie uto mjiangalie, mazembe anaweza kuwapiga mkono. Usimcheke kolo kabla hujavuka mto
Makolo wamelitia aibu taifa. Wamemletea aibu Raisi wetu kipenzi chetu mama yetu. Hii timu ichunguzwe kuna agenda ya siri inaendelea.

Ila kwakuwa Yanga ni lidude likubwa basi watafuta aibu hii siku ya leo
 
Naona umeamua kujaza server ya JF peke yako[emoji1787][emoji1787]unataka timu Mo aiache ili upewe wewe🫣🫣

Halafu wewe mtoto wa mama laini sana, Simba Sc ikiwa inacheza huwa unajificha huweki comment hata moja[emoji15][emoji15], unashindwa hadi na watoto wa kike wanajiamini zaidi yako[emoji1306][emoji1306], unasubiri mechi iishe ndio uanze kujaza server ya watu machozi, wacha uboya.
Muache MINO awapopoe mimi napenda nyuzi zake nataka lila uzi anitag nichukue madini..
 
Wewe ndiyo Adui #1 Simba SC na huna Msaada na Timu yetu bali unaitumia Simba SC Kujitajirisha. Tumekuchoka tuachie Timu yetu.

Nimemaliza.
Tatizo lako wewe unapenda sana kutafuta attention humu. Hiyo sio njia sahihi ya kushughulikia hisia na mahangaiko yako. Tafuta njia sahihi ya kushughulikio mambo yako sio humu jf maana kila unapoenda kulala unakuwa unaishia kuwa na stress tu.
 
Msema kweli siku zote ni mpenzi wa Mungu eti wanasemaga Mtani.

#Mkiani. 😂😂😂
Yanini mtani kujipa matumaini mfu🤣🤣🤣

Utakuwa zaidi ya mwendawazimu. Wewe fikiria tu kocha wanaleta mwezi mmoja kabla ya michuano kuanza, halafu wachezaji wazuri wanageuza kuwa wa maonesho ya kampeni baada ya hapo wanaenda okoteza Baleke na Sawadogo.

Halafu wanasema tunataka ubongwa wa CAFCL. Safari hii hata nafasi ya 2 hakuna, ni mkiani kabisa. Tukinusurika bas ya 3.
 
Simba walikuwa wanatembea na mgongo wa korona kuwasingizia wachezaji wa timu pinzani wana korona ikawa inaonekana timu yamaana sasa uwezo wao halisi unaonekana
 
Leo wa kwanza mimi. Mungu awajalie linalowastahili
Watavuna walichopanda kama wenzao jana.

Tatizo hizi timu Simba na Yanga zimeshageuza sehemu za kutangazia bidhaa na watu kujipatia umaarufu kisiasa na faida kiuchumi.

Yanga GSM Form nk. SIMBA takataka zote za Mo.

Azam yote maazam cola na lambalamba zake na mengine ujuayo. Mtibwa na Kagera Sukari utamu wote. Yule wa Singida BS nae akiwapiga tozo wanaSingida anawapooza na burudani ili waendelee kumchagua.

Hili soka hili la Bongo ni hovyo sana.
 
Back
Top Bottom