Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ukweli
Sisi hutukufungwa nyumbani kua na adabuSisi ni Club Bingwa na hao Raja wanatujua vzr ndo maana walikuja kwa tahadhari...
Bado hatujavunja ile rekodi ya
RAJA 6 YANGA 0
Kufungwa nyumbani au ugenini kuna tofauti gani??Sisi hutukufungwa nyumbani kua na adabu
Hapo ulipo unaombea tuu tp mazembe wawafanyue kazi ili msipate tabu wiki ijao toka kwa watanu.Nipo best...jana nililouwaaa hata hamu sikua nayo...
Ila leo nimeamka na nguvu mpya ari mpya
SIMBA NGUVU MOJA
TIMU BORA AFRICA MASHARIKI
Zile ni mbwembwe tuu kama kinyonga kujibadili rangi...Hapo ulipo unaombea tuu tp mazembe wawafanyue kazi ili msipate tabu wiki ijao toka kwa watanu.
Jana mlilowa kweli pamoja na bus kurudi rivesi🤣🤣🤣🤣
Jana pumbaf kabisa nyie mmetunyima mbususu. Mademu wa simba mpaka leo hawataki kutoa mbususu wanalia tuu 🤣🤣🤣🤣Zile ni mbwembwe tuu kama kinyonga kujibadili rangi...
Hao nyoka nyoka leo wanashinda hatabkwa bao 1 TP mazembe imeshajichokea..
Ka kundi kao kepesii
Mie kukuacha ni uombee wananchi nao waninyime mbususu leo pale taifa🤣🤣🤣🤣😆 😆 😆 😆 😆 😆 hebu niache bana mzabzab
Leo watakupaaaaMie kukuacha ni uombee wananchi nao waninyime mbususu leo pale taifa🤣🤣🤣🤣
Mnapo sema kwa Mpka hatoki mtu hua mna maana gani,?Kufungwa nyumbani au ugenini kuna tofauti gani??
Wazee wa kuchezea vipigo ndani nje
Kila timu ina kupanda na kushuka. Hebu tueleze Liverpool, Man U, zilizokuwa zinapeleka kipigo kwa kila timu leo wako wapi?Wewe ndiyo Adui #1 Simba SC na huna Msaada na Timu yetu bali unaitumia Simba SC Kujitajirisha. Tumekuchoka tuachie Timu yetu.
Nimemaliza.
Ina maana tuanze usajiri upya sasa, manake naona ni timu nzima hapoBanda
Kibu
Mkude
Kenedi
Sawadogo
Outara
Mwinuka
Bocco
Gadiel
Akpan
Hao waondolewe kwenye kikosi
Manura
MH 15
Onyango
Inonga
Mzamiru
Chama
Hawa wamechoka
Hii ya 4 nadhani inatokana na viongozi.Kila timu ina kupanda na kushuka. Hebu tueleze Liverpool, Man U, zilizokuwa zinapeleka kipigo kwa kila timu leo wako wapi?
Tatizo la Simba
1. inaongozwa na watu wasiojua lolote juu ya utawala wa mpira au hata kucheza mpira Tanzania au popote duniani.
2. Viongozi wako kwa masilahi binafsi na siyo ya timu.
3. Mpira wa miguu unahitani pesa na mipango mikubwa. Simba hawana hata kimoja
4. Wachezaji kutokujitoa kwa timu