Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
Kila anayeitakia kheri staz hayupo tayari kwa mabadiliko yoyote, huyo keshakuwa mtumwa wa sisiemu kitambo.Kila la kheri kwa Tanzania...
Mambo ya serikali ndivyo yalivyo...Kila anayeitakia kheri staz hayupo tayari kwa mabadiliko yoyote, huyo keshakuwa mtumwa wa sisiemu kitambo.
Mkuu ondoka kwenye huo utumwa.
Ni ujinga kuunga mkono ujinga.Mambo ya serikali ndivyo yalivyo...
Nina tiket ya Taifa Stars v Brazil 2010, ile Ivory Cost ya akina Drogba, Gervino, Toure n.kAsa itakuwaje jamani mi nipo busy? Hii mechi sio ya kuangalizia kwenye TV kabisa!
Historia hii!
Hongera sana Mkuu.Nina tiket ya Taifa Stars v Brazil 2010, ile Ivory Cost ya akina Drogba, Gervino, Toure n.k
Kwenda kutazama mpira wa hawa jamaa ni burudani tosha.
Wiki mkuu itapendeza.Naona mechi imeingizwa CCM na siasa zao za kisengelema...!!
Eeee mungu naomba Morocco kesho ashinde kuanzia Gori 5+
Kwanini Manula kila akikutana na Aziz Ki lazima atobolewe?Huu ni uonevu sasa!!safu ya ulinzi manula
Alikabwa pia Samuel Eto'o.Saa nyingine kwenye soka kuna vitu vya aina yake. Najua umesema vile kwa kulinganisha viwango vya hao wachezaji wawili. Kuna siku "Cannavaro" alimkaba Didier Drogba mpaka tukawa hatuamini tunachokiona.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Nipo hapa mkuu, nipo mbagala kibonde maji.Napenda mpira ila ukishaanza kutumika kutafutia mileage ya kisiasa naona kama ufala hv!
Nsiongeee sana wamorocco tujuane mapema unapatika wapi, Mimi nipo manispaaa ya cassablanca
Ashraf sijui kama atanikumbuka🤣maana watoto wa aunt Wana zarauNipo hapa mkuu, nipo mbagala kibonde maji.
Mzee si unajua tena kashajua wabongo starehe yao ni mpira na ndo kuna mashabiki wengi tofaut na siasa,kwa hyo na yeye anajiingiza huku ilmrad apate turufu kwenye siasa coz kashaona huku wadau ni wengi mno na ndo starehe yetuWanasemaga too much is harmful, ndivyo ilivyo kwa ushiriki wa mama ktk michezo.
Mwanzoni ilikuwa nzuri, kwa kuonekana mama anapenda michezo na anatoa support.
Ila sasa hivi limekaa kisiasa zaidi, halivutii tena!
Ha ha ha unataka kusema fei ni mjusi?Kila nikiwaza pale katika Kati wao Wana Soyna Mrabat wakati huo sisi tuna Feitoto, naona kabisa hii ni vita ya mamba na mjusi
Utawaona wanavyoshika mabango yao. Yaani mpaka aibu unaona wewe. ikumbukwe michezo ni burudani jamani na si siasa. sijui raia wa kigeni wakitazama match yetu wanionaje.Mama sijui anahusika nini hapo,mi kesho nasubiri wapigwe 3 safi
Wakitoa japo droo niite mbwa.Naam leo ndo leo majira ya saa 4 usiku kwa saa za afrika mashariki kutakuwa na mchezo kati ya Tanzania na Morocco
View attachment 2820288