Mtani wa Taifa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2023
- 953
- 3,318
Wengi sana mkuu hauko peke yako, ukitaka kuamini hili subiri stars wakazwe utaona responseHahhaaa, kumbe tupo wengi Morocco
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi sana mkuu hauko peke yako, ukitaka kuamini hili subiri stars wakazwe utaona responseHahhaaa, kumbe tupo wengi Morocco
So wa Jericko?kikosi: safu ya ulinzi manula,job,nyeto,barca,novatus,mnoga huu ukuta wa berlin
Pumulia chini mkuu ,taifa stars ni yetu tuoneshe uzalendo mkuuNaona mechi imeingizwa CCM na siasa zao za kisengelema...!!
Eeee mungu naomba Morocco kesho ashinde kuanzia Gori 5+
Chadema na Simba mnateseka sanaWengi sana mkuu hauko peke yako, ukitaka kuamini hili subiri stars wakazwe utaona response
Ila baadaye Kiroba alitufugaSaa nyingine kwenye soka kuna vitu vya aina yake. Najua umesema vile kwa kulinganisha viwango vya hao wachezaji wawili. Kuna siku "Cannavaro" alimkaba Didier Drogba mpaka tukawa hatuamini tunachokiona.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Ntashuru sana mkuu.Yale majamaa yanayotuona NYANI yasitutoe kwenye mstariSawa mkuu kwa heshima yako nitajaribu kuwa mzalendo katika nchi ambalo viongozi si wazalendo [emoji23]
sio didier ni etoo mpaka mwisho wa mechi etoo akamfuata na kumpa mkono, wakabadilishana jezi, ile jezi ilimtetea cannavaro shida.Saa nyingine kwenye soka kuna vitu vya aina yake. Najua umesema vile kwa kulinganisha viwango vya hao wachezaji wawili. Kuna siku "Cannavaro" alimkaba Didier Drogba mpaka tukawa hatuamini tunachokiona.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Hawawezi kufanikiwa,stars inabaki kuwa yetu soteWanasiasa wa ccm hawaoni aibu kuiteka timu ya taifa na kuifanya ni ya chama chao. Ni kama wameichuria ifungwe ili waaibike na kufedheheka
Mkuu unataka tuaibike tukiwa na watoto wetu?hivi kwanini mechi wameieka saa nne?
Hapo sawa,nakumbukasio didier ni etoo mpaka mwisho wa mechi etoo akamfuata na kumpa mkono, wakabadilishana jezi, ile jezi ilimtetea cannavaro shida.
Hata kule fb wapo wengi tu wanaoiombea Morocco ishinde 😂😂Hahhaaa, kumbe tupo wengi Morocco
Itabaki kuwa yako na mwenyekiti wako wa CCM 😏Hawawezi kufanikiwa,stars inabaki kuwa yetu sote
Tatizo wanaingiza siasa kwenye michezoHii thread inaonyesha ni jinsi gani Tanzania na nchi nyingi za Afrika hazina uzalendo. Tuna safari ndefu sana smh.
Hapo ndo umedhihirisha kwamba taifa stars siyo ya CCM maana Mimi na ccm ni kama mashariki na magharibi hatuwezi kufungamana.Itabaki kuwa yako na mwenyekiti wako wa CCM [emoji57]
Itapendeza sana.Watakula nyingi kama mvua
Kama wewe sio ccm mbona hukemei ccm kuingilia tasnia ya michezo?Hapo ndo umedhihirisha kwamba taifa stars siyo ya CCM maana Mimi na ccm ni kama mashariki na magharibi hatuwezi kufungamana.
Umeniamulia,sina bango lolote wala Nini.Kama wewe sio ccm mbona hukemei ccm kuingilia tasnia ya michezo?
Bango la mamá unalo hadi kwa device yako unakenua meno tu et Mama anapiga kazini [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ni wale wale tu wa bendera kufuata upepo.
Ushauri wako mzuriWalio karibu na wachezaji wa Yanga, waliotwa timu ya taifa inabidi wastuliwe kuwa siku mbili zijazo kuna wana mechi ya muhimu sana na wao ni miongoni wachezaji muhimu hivyo wasitumie nguvu nyingi hao Morocco walishindikana kwa Ureno na Uhispania na wakwepe kukaa na mipira na mipira ya 50 kwa 50.