Tulia weweeeDuuuh! Hakim anamiliki stuli na kiberiti cha kuwashia fegi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia weweeeDuuuh! Hakim anamiliki stuli na kiberiti cha kuwashia fegi
Nimekuja kugundua kweli wanawake hawapendani?Wanasemaga too much is harmful, ndivyo ilivyo kwa ushiriki wa mama ktk michezo.
Mwanzoni ilikuwa nzuri, kwa kuonekana mama anapenda michezo na anatoa support.
Ila sasa hivi limekaa kisiasa zaidi, halivutii tena!
Mkaldayo vipi? Ushakula msuba?Tulia weweee
Sasa hapa umegundua au unauliza?Nimekuja kugundua kweli wanawake hawapendani?
Kwahiyo akina Achraf Hakimi watakuwepo ndani ya nyumba leo?
Kashavuta huyoMkuu ni wewe? kulikoni nini kimekutokea hadi unatumia lugha kali hivi?
Umeshaingia kwa Mkapa?Umeniamulia,sina bango lolote wala Nini.
Leo nilikuwa Bagamoyo nitaangalia home .Naiombea stars ishinde.Umeshaingia kwa Mkapa?
Ukifanikiwa kulinda na ukafanikiwa tu kupata sare niko hapa mkuu na ntakuwa tayari Kwa ban ya mwezi mmoja sio wiki ukweli ni kwamba Moroco kubakia nafasi ya tatu hilo haliwezekaniTaifa lazima waingie na mkakati wa kulinda na kutumia mipira ya counter attack
Imenitoka mkuu, kuna majambo yanakera.Mkuu ni wewe? kulikoni nini kimekutokea hadi unatumia lugha kali hivi?
Na hivyo alipewa vya urithi na kaka yake. 😂🤣Duuuh! Hakim anamiliki stuli na kiberiti cha kuwashia fegi
Anapenda mpira km MwinyiWanasemaga too much is harmful, ndivyo ilivyo kwa ushiriki wa mama ktk michezo.
Mwanzoni ilikuwa nzuri, kwa kuonekana mama anapenda michezo na anatoa support.
Ila sasa hivi limekaa kisiasa zaidi, halivutii tena!
Mkuu taifa stars wakitoa drop niite mbwa, niite Lucas Mwashambwa sawa tu
Mwanayanga acha wogaWalio karibu na wachezaji wa Yanga, waliotwa timu ya taifa inabidi wastuliwe kuwa siku mbili zijazo kuna wana mechi ya muhimu sana na wao ni miongoni wachezaji muhimu hivyo wasitumie nguvu nyingi hao Morocco walishindikana kwa Ureno na Uhispania na wakwepe kukaa na mipira na mipira ya 50 kwa 50.
Uzalendo gani badala ya kuvaa jezi za taifa stars lucas mwashambwa anavaa manguo ya ccm uwanjanHii thread inaonyesha ni jinsi gani Tanzania na nchi nyingi za Afrika hazina uzalendo. Tuna safari ndefu sana smh.