Cha kushangaza, channel yoyote ingeweza kuwa na program za uchambuzi wa mechi hata kama hawataonyesha mechi yenyewe ila kwa kuwa bongo zetu zimelala ndo hivyo tenaDuh!! Kungekuwepo na channel ya Taifa ya michezo Sasa hivi tungekuwa tunapata uchambuzi au replay za michezo ya karibuni ya timu hizi LAKINI TUMELETWA HUKU ZBC2 TUNALISHWA QASWIDA NA HISTORIA YA MTUME
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Morocco piga hao maccm
Leo kazi ipo hapo kwa BenjaminiKwahiyo akina Achraf Hakimi watakuwepo ndani ya nyumba leo?
Toa sababu ya msingiLeo hata wachezaji wa Morocco wote wacheze kwa mguu mmoja taifa stars anapigwa
Mie nasubiri kuona chawa wa mama wanavyofumbwa midomo.Leo nilikuwa Bagamoyo nitaangalia home .Naiombea stars ishinde.
Safi sana, ukumbusho wa dini ni muhimu kuliko hayo matimu ya ccmDuh!! Kungekuwepo na channel ya Taifa ya michezo Sasa hivi tungekuwa tunapata uchambuzi au replay za michezo ya karibuni ya timu hizi LAKINI TUMELETWA HUKU ZBC2 TUNALISHWA QASWIDA NA HISTORIA YA MTUME
Wapigweee hao ma sisiemu 😂Morocco piga hao maccm
Mwenyekiti wa wanaume wote wanaojitambua duniani mzee Achraf Hakim yupo timu ya morokoToa sababu ya msingi
Timu imecheza nusu fainali ya world cup tumeona mpira wanaocheza, Je ule mpira wa Niger na Taifa Stars ni mpira gani, hata kutoa tu pasi imfikie mtu kwa usahihi ni shida,marking ni mbovu,tungefungwa kama Niger wangekuwa wazuri sema nao ni wabovu kama sisi.Toa sababu ya msingi
Atashinda,hana hofu huyoAnatafuta popularity hana lolote. Anapambania kiti 2025
Wakimaliza mechi afanye kikao wajumbe tupo teleMwenyekiti wa wanaume wote wanaojitambua duniani mzee Achraf Hakim yupo timu ya moroko
Nimecheka mnoMwenyekiti wa wanaume wote wanaojitambua duniani mzee Achraf Hakim yupo timu ya moroko
Kosi la majaribio, hauwezi anza na hao akina Charles na Abraham huku nje una Msuva na Samata.