Atakutana na wanaume wa shokaMwenyekiti wa wanaume wote wanaojitambua duniani mzee Achraf Hakim yupo timu ya moroko
Haaaah hiki kikosi kocha hajapangiwa na mtu maana hao wakina samata wameshajichokea zao
Ndiyo maana akawa kochaKocha alivopanga leo sijamuelewa mimi [emoji24][emoji24]
Kwani wakikukubali utapewa ugari kwenuTutawapiga hawa mbwa waliotukataa kombe la Dunia.., eti wao sio WaAfrika, 1 - 0 inawatosha kabisa!
Wabongo nyie.....Morroco 5+ CCM na nyumbu wake 0
Oyoooooooooo👏👏👏😅
Only available in TZ ZBC2Jaman samahanin mechi kwa dstv inaonyeshwa chanel gan??