Bwana mdogo kababatiza goli la kimazabe juzi tayari kapewa u captain na wakongwe wapo nje? Naogopa kitakachotokea kipindi Cha kwanza , Hawa madude sio ya kuwafanyia majaribio. Ndio mabingwa watetezi wa Kombe la dunia ukanfa wa Africa kwa fainali zilizofanyika Qatar
 
wakikuona unashabikia moroco hawakawii kutuma policcm kutupga virungu humu uwanjan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…