FT | Yanga SC 2-0 Singida Fountain Gate | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 27.10.2023

Hivi unafahamu kuwa kati ya Yanga na Simba nani alieshinda Ubingwa mara nyingi,na pia nani kafungwa na mwenzake matches nyingi na magoli mengi?
Kwanini uni'quote mara mbili sasa?

Anyways....Nakuelewa

Hata Ingekuwa mimi Uto inawezekana ningekuwa na machungu kuliko haya....

Enjoy mpira bhana
 
Inabidi tuanzishe goal.com ya Tanzania, upo vzr sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…