Mkuu njaa inaongea, subiri upate maokoto kama utawaza hivyo ππWatu wanafanya masuala ya hovyo alafu wanatutishia kifo mashujaa kama sisi. Walikufa akina Patrice Lumumba na Samuel Doe wa Liberia kwa ajili ya wananchi wao sembuse mimi??
Maokoto atanipa nani mimi mtoto wa mlala hoi? Waache kuwapa watoto wa Makamba na Kikwete waje wanipe mimi ambaye baba yangu hata serikali ya mtaa hana cheo??Mkuu njaa inaongea, subiri upate maokoto kama utawaza hivyo ππ
Francophone countries wanajielewa sana mkuu. Hawataki masuala ya hovyo wale. Issue kidogo tu, tayari wameshachukua hatua.Hiyo ndiyo maana ya jeshi la ulinzi la wananchi, hapo ilitakiwa iwepo na " rasilimali za Taifa.
Siyo kundi la wezi linagawa rasilimali za nchi jeshi lipo tu kodoooo! Amkeni
Yapo huko yanakumbana na raia alievaa hata mfanano wa kombat ya jeshi la U.S[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na jeshi lenyewe limeingia mkataba na waarabu. Washalambishwa asali za waarabu ndio maana wako bize kutafuta soksi zenye rangi ya jeshi [emoji1787]
EDGE signs cooperation agreement with the Tanzania Peopleβs Defence Force
Agreement will encourage the exploration of opportunities of mutual benefit in the areas of defence, security, and technological knowledge sharingwww.zawya.com
Utamaduni mpya ambao utajenga nia na uzoefu wa kubadili kila kuwapo na hitilafu.Nimefurahishwa na hili kama vile nami ni Mgabon. Gabon ingeweza kuwa moja ya nchi yenye watu matajiri zaidi duniani. Wana mafuta, nchi kubwa nzuri na hawafiki hata milioni 3. Kuongozwa na wapumbavu kunawafanya wawe wapowapo tu. Hakuna guarantee ya waliopindua kufanya vizuri, lakini kutoa kitu kisichofaa ni hatua nzuri na kubwa. My prayers to Gabonese.
Wawanyonge wote kufuta kizazi kiroho cha nyoka.WAmnyonge tu na baba kam yupo hai naye wajumuishe
Wangese sana ile familia
InajongeaPale kwao Etoo sijui wanasubiri nini wale wajeda!!
Au wanakula pamoja na yule mtawala wao
La VICHAA KWANI HAMUELEWI.ππππ Watu wanaonyesha mapenzi na Jeshi lao Jeshi linawakataa vueni magwanda hayo hatutaki mapenzi na nyinyi
Jeshi la POLISI
Jeshi la Ulinzi wa Raia na Mali Zao
Jeshi la Wananchi
Jeshi la Kujenga Taifa
Unazungumzia Jeshi lipi?
Mijirungu mingapi?; lipige hadi liwe bwabwashkaMimi natamani lile bichwa la NAPE nilipige rungu
WIVU TU HUOAcha mikwara. Watu wamewachoka chama chenu na watoto wenu.
Sawa mkuu, ila muda utaongea. Historia ya 1970s ndio hiyooo inajirudia.WIVU TU HUO
Tanzania sio Nchi ya wajinga kama huyo ukiyemtaja,ndio maana hayupo asingekubaliwa kuleta upuuzi wakeNina hakika JPM angelikuwepo leo angemuunga mkono Putin kwa moyo mkunjufu.
Bora waneemeke kuliko Vita,hakuna Mtanzania anapenda huo ujinga kama wewe unapenda kufa mapema kabla ya kutuletea shida sie wengine na Watoto Wetu.Bora ugali ukosekane, wote tufe kisha nchi ienze upya kuliko kukaa na kuona watoto wa vigogo wakiendelea kuneemeka tu na rasilimali za taifa.
Ccm haiwezi kuwa kama hiyo Nchi ya Gabon ambayo ilikuwa inaongozwa na familia.Chama cha kipuuzi sana kile. Kimejaza watoto wa vigogo tu wanakula nchi jinsi wanavyopenda. Mawazo yako yapo kama yangu.
Ndio acha usirudishe Sasa uone hapo Utajua Hilo jeshi linamilikiwa na nani na wewe kama una jeuri ,unda jeshi lakoKwakweli inafikirisha sana yaani majitu yanapiga Hela yanauza Mali za nchi lakini jeshi linakuja na hoja kwamba atakaekutwa na soksi au begi la linalofanana na la jeshi atakiona Cha mdumula ngwagu wakati huo tunasubir mazoezi ya kuvunja matofali na mdomo
I have nothing to fear. I have nothing to lose. Anayeweza kunisulubu mimi ni Mungu tu na sio binadamu mwenzangu.Ccm Ina network kuanzia mtendaji wa Kijiji hadi Jenerali ,ukionekana mapema unasulubiwa kabla