Kama Rais Samia, Rais Mwinyi, Rais Mstaafu Kikwete wapo humu na ni 'Followers' wangu GENTAMYCINE Mtu Mmoja tu mwepesi Haji Manara ataacha kuwepo?
Kwa Taarifa yako tu ni kwamba 99% ya Mada zangu hapa JamiiForums nikiwa namuandikia Haji Manara ( hasa Kumsema ) huwa anafikishiwa na Chawa Wake na kupitia Kwako nikuibie Siri kuwa Haji Manara anajua kuwa Mimi GENTAMYCINE na hii ID ni Adui yake Mkubwa Mchambuzi Mahiri wa Soka wa EFM Jemedari Said Kazumari wakati hata siyo Kweli.
MImi ni Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura ( GENTAMYCINE) na siyo Jemedari Said Kazumari kama Haji Manara anavyodai na mara kwa mara huwa anadai hivyo.