Manara anadeka, Manara ni mropokaji, Manara ni mswahili. Ila kwenye suala la Manara kuihujumu Simba siungi mkono asee. Kajamaa kanaipenda Simba!
 
Je, hiyo laki 7 mnayompa ni Mshahara na kasaini mkataba au ni Posho 😕😕😕
 
Tatazo simba bado wachanga kimfumo, mnasafiri ndefu kuifikia Yanga.

Akili zenu mmeziweka kwa Mo, asiposema Mo mnakuwa kama nyumbu,
 
Watizii wengi hawajui maana ya conflict of interest ni vizuri manara aende kwa GSM mall kabisa atuachie timu yetu.
 
Ndio aache Simba aende huko wanakompa masilahi makubwa Simba existed since 1935 without him aisee, acheni kumpa huyo bichwa aisee, Tena kipindi team Ina mechi ngumu analeta shombo zake na kujiona mkubwa, Simba imemvumilia naomba imtoe kabisa ahamie huko GSM mfyuuu kweli huyu.
 
Haya yote ni kutokana na matokeo ya tarehe 3

Sababu hii mikataba ajaanza kuwa nayo Jana wala leo ni ya mda sasa siku zote hizo mbona walikua kimya?

Mo ni mwekezaji simba na baadhi ya bidhaa zake zina dhamini jezi ya simba kwa makubaliano yao lakini manara ni mfanyakazi wa simba na haimnyimi haki ya kufanya matangazo ya bidhaa tofauti. Labda no aingie mkataba personal na haji wa kutangaza bidhaa zake

Ng'olo kante ( mtu mbad) yuko Chelsea inayodhaminiwa na Nike but yeye ana mkataba wa kutangaza bidhaa za Adidas lakini sijawahi kusikia Chelsea akikutana na man u wanaodhaminiwa na Adidas eti anavujisha siri.

Hapa kinachotafutwa ni namna ya kumfukuza tu haji
 
Kwanza Mo kamvumilia na kumdekeza sana,nimefatilia hili swala kwa kina na nilikuwa upande wa Haji kumbe Haji ni tatizo na Mo halilifumbia macho kwa muda mrefu sana.Haji asepe akafanye kazi kwa uhuru na gsm kipenzi chake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…