Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Wanaotaka manara afe njaa kisa mkataba ambao hajaingia yeye ndio wapumbavu .Labda useme wewe watakuelewa..
Cc wapumbavu wote wa humu
Watoto wa Kariakoo hawajawahi Kuwa wazembe kama vileHaji mzee wakudeka sana
Hata mimi hilo nalionaWrite your reply...Haji ni mkubwa kupita simba, hakuna wa kumgusa
Tatazo simba bado wachanga kimfumo, mnasafiri ndefu kuifikia Yanga.Kwa muda mrefu Haji amekuwa akijihusisha na GSM kama one of the brand ambassador na pia amekuwa brand ambassador wa wafadhili wa azam. Tatizo ni kwamba kuwa ambassador huko kwingine kunamnyima yeye nafasi ya kutangaza bidhaa za mtu ambaye amewekeza pesa nyingi pale Simba kwa sababu za kimikataba na hao wengine.
Sasa haiingii akilini, muajiriwa wasimba anashindwa kutangaza bidhaa za mdhamini wa Simba, ila anaenda kutangaza bidhaa za madhamini wa Yanga!
Hivi ishawahi kufikiria leo Hasan bumbuli awe na mkataba wa kibiashara na Mo dewji kutangaza bidhaa zake na mashabiki wa yanga wamuangalie tu?
Linapokuja swala la mshahara, Simba wanampa laki Saba huku hao wengine wanampa wakimpa zaidi ya million 5 Sasa unafikiri huyo anayempa million 5 akija kumuomba taarifa za huyu anayetoa laki 7 atakataa?? Ni halali viongozi wa Simba kuwa na mashaka na haji manara.
GSM ?kabla ya mudi kuja simba na bidhaa zake hajji alikuwa yupo tyr na azam kwenye matangazo
Hans Pope ameshatoa ufafanuzi kuwa manara anakwepa kusaini mkataba wa simba wa 4 million ili awe huru kufanya kazi na makampuni mengine ikiwepo GSM.Je, hiyo laki 7 mnayompa ni Mshahara na kasaini mkataba au ni Posho 😕😕😕
Kitendo cha kumtumia Barbara Tuvoice note alimtumia barbra...then barbra akaivujisha publicly.
Correct, kwenye ajira huwezi kujipangia masharti yako. Lazima ufuate masharti ya mwajiriManara anataka kutengeneza na kuishi on his own rules, kitu kisichowezeka kabisa
Nyerere mwenyewe anajua habari ya huyu mtu...Hanspope anavyoonekana atakuja mpiga manara pistol
Watizii wengi hawajui maana ya conflict of interest ni vizuri manara aende kwa GSM mall kabisa atuachie timu yetu.GSM ni wadhamini wa Yanga na wana interest na Yanga, Azam wana products ambazo zinafanana na products za wadhamini wa Simba 'mo energy' , kumbuka simba walisaini mkataba rasmi wa udhamini na products hizo na Simba inavuta mpunga. Huoni conflict of interest hapo? Yaani uwe msemaji wa Nike alafu uwe balozi wa products za Adidas.
Hata sie tutamkogesha shombo la hajaIla akiondoka Simba mjiandae kuoga shombo lake. Huyu jamaa kwa shombo hafai.
Ndio aache Simba aende huko wanakompa masilahi makubwa Simba existed since 1935 without him aisee, acheni kumpa huyo bichwa aisee, Tena kipindi team Ina mechi ngumu analeta shombo zake na kujiona mkubwa, Simba imemvumilia naomba imtoe kabisa ahamie huko GSM mfyuuu kweli huyu.Hanspope aache unafiki milioni4 pesa gani walau milioni8 tuwe wakweli Simba ya Manara ni Simba tofauti sana, thamini kazi ya Manara, mnaona wivu thamani anayopata huko nje ndio mnajenga hisia za kiutopolo. Manara hata Yanga itamfaa tu maana kaishi ndani ya Yanga maish yake yote.
Kwahiyo kumbe nyie ndio mmemng'ang'ania aliwaonesha mapema kwamba hayupo pamoja na nyieHans Pope ameshatoa ufafanuzi kuwa manara anakwepa kusaini mkataba wa simba wa 4 million ili awe huru kufanya kazi na makampuni mengine ikiwepo GSM.