Hotuba ya Rais Samia Bungeni: Kuboresha Kilimo na Uvuvi, Kukutana na Wanasiasa, Awaonya wanaopotosha Mitandaoni, ATCL kulindwa, Wanawake kuzingatiwa

Hotuba ya Rais Samia Bungeni: Kuboresha Kilimo na Uvuvi, Kukutana na Wanasiasa, Awaonya wanaopotosha Mitandaoni, ATCL kulindwa, Wanawake kuzingatiwa

Kufanya kazi kwa karibu sana na sekta binafsi
Kwenye sector binafsi mama, badilisha kwanza sheria ambazo mwendazake aliziweka za kutaka serikali ndio ifanye biashara pekee na kujikuta makampuni binafsi mengi yamefunga biashara maana serikali inafanya yenyewe.

Serikali ibaki kuwa msimamizi wa sector binafsi.

Mfano, mwendazake aliweka sheria ya kuruhusu TASAC kuchukua na kufanya kazi zote za bandarini, wao wao ndio mawakala wa meli, wao wao wakiwa ndio wasimamizi wa masuala ya bandari na watoa leseni, hapohapo Tasac ndio wakala wa forodha (clearing agent) bado tasac ndio Tallying company na mengineyo, hatuwezi kuwa na maendeleo kama mtu mmoja anafanya kila siku, Tasac wanaua bandari ambayo ndio mlango wa maendeleo kwa kuwa hawana ufanisi.

Peleka sheria bungeni kuruhusu sector binafsi zifanye biashara
 
Back
Top Bottom