Hotuba ya Rais Samia Bungeni: Kuboresha Kilimo na Uvuvi, Kukutana na Wanasiasa, Awaonya wanaopotosha Mitandaoni, ATCL kulindwa, Wanawake kuzingatiwa

Hotuba ya Rais Samia Bungeni: Kuboresha Kilimo na Uvuvi, Kukutana na Wanasiasa, Awaonya wanaopotosha Mitandaoni, ATCL kulindwa, Wanawake kuzingatiwa

Usafiri wa anga .... utanuzi wa ndege mikoani na kiwanja kikubwa dodoma
 
Naona Kristofa Ole Sendeka anatafakari wakati wenzake wanamsikiliza Mhe. Raisi
 
Kulifanyia uchambuzi wa kina , watakaoaminiwa ni watu wenye uweredi
 
Hao ni zero brain wa Mafia Boss Mbowe.

Wanataka avunje bunge, mara afukuze Majaliwa, mara afukuze Dotto James, mara afukuze nani sijui. Ukiwauliza makosa yao, hawana majibu eti maria sarungi kasema, sijui fatuma karume kasema ama kigogo kasema. Hawa ndio wanaomba Lissu awe rai awateue kwenye nafasi za uongozi nchi hii.
Leo watajisaidia kitandani hii hotuba inawachoma sana na kunawatu wamezima tiv wameingia chumbani kulia saizi.😂😂😂😂😂
 
Ngoja tuta sikia

Comment za wana genzi lkn assumption yangu HASOMI
Anasoma

FB_IMG_1619099808610.jpg
 
Back
Top Bottom